soma hiyo habari utaelewa kwanini haya yanatokea
Menopause is a stage in life when a woman stops having her monthly period. It is a normal part of aging and marks the end of a woman's reproductive years. Menopause typically occurs in a woman's late 40s to early 50s.
What are the symptoms of menopause?
Early symptoms of menopause among others include
- Emotional changes (irritability, mood swings, mild depression) :angry::frown:
- Sleeplessness
Najua yapo mambo mengi ya kuandamana kwa sasa. Hata hivyo mi nadhani hili la bunge kuendeshwa ki-hovyo hovyo na Spika Makinda ni kubwa na jambo la hatari sana kwa maendeleo ya taifa letu. Nawashauri CHADEMA, na wote wanaokerwa na mama huyu, wafanye maandamano nchi nzima au sehemu kadhaa za nchi, kulaani uendeshaji mbovu wa bunge unaofanywa na spika. Ingawa najua haitafanya aondolewe madrakani, naamini itamoa msg, na itamfanya ajue kuwa anachokifanya bungeni kinawaudhi wengi. Mi nadhani kwa sasa anadhani kuwa hajashtukiwa kuwa anaendesha bunge visivyo, so akiona maelfu wameandamana kumlaani, atapata funzo fulani/
Wanaounga mkono pendekezo hili waseme "Ndiyooooooooo"
Wanaopinga waseme "Siyoooooooooo"
Ahsante sana kwa kunisikiliza...
Mkuu huogopi kukaa nyuma ya m2!Hata wewe waweza anzisha hayo maandamano, tutakua nyuma yako.
soma hiyo habari utaelewa kwanini haya yanatokea
Menopause is a stage in life when a woman stops having her monthly period. It is a normal part of aging and marks the end of a woman's reproductive years. Menopause typically occurs in a woman's late 40s to early 50s.
What are the symptoms of menopause?
Early symptoms of menopause among others include
- Emotional changes (irritability, mood swings, mild depression) :angry::frown:
- Sleeplessness
Najua yapo mambo mengi ya kuandamana kwa sasa. Hata hivyo mi nadhani hili la bunge kuendeshwa ki-hovyo hovyo na Spika Makinda ni kubwa na jambo la hatari sana kwa maendeleo ya taifa letu. Nawashauri CHADEMA, na wote wanaokerwa na mama huyu, wafanye maandamano nchi nzima au sehemu kadhaa za nchi, kulaani uendeshaji mbovu wa bunge unaofanywa na spika. Ingawa najua haitafanya aondolewe madrakani, naamini itamoa msg, na itamfanya ajue kuwa anachokifanya bungeni kinawaudhi wengi. Mi nadhani kwa sasa anadhani kuwa hajashtukiwa kuwa anaendesha bunge visivyo, so akiona maelfu wameandamana kumlaani, atapata funzo fulani/
Wanaounga mkono pendekezo hili waseme "Ndiyooooooooo"
Wanaopinga waseme "Siyoooooooooo"
Ahsante sana kwa kunisikiliza...
Sipendi Spika Makinda anavyoendesha bunge, lakini haya uliyoandika hapa unawatukana wanawake wote! Wanawake wangapi wako katika nyadhifa mbalimbali katika huo umri unaousema na wanafanya vizuri! Kumbuka hao ni mama zako! Nachukia udhalilishaji wa kijinsia wa aina hiyo! Uwe na heshima mkuu....
soma hiyo habari utaelewa kwanini haya yanatokea
Menopause is a stage in life when a woman stops having her monthly period. It is a normal part of aging and marks the end of a woman's reproductive years. Menopause typically occurs in a woman's late 40s to early 50s.
What are the symptoms of menopause?
Early symptoms of menopause among others include
- Emotional changes (irritability, mood swings, mild depression) :angry::frown:
- Sleeplessness