Maandamano ya Karagwe ktk picha

Pinda mbona kafunika kagera?
Acha hizo Pinda mpaka ameona aibu,na watu walibebwa toka vijijini mimi nilikuwapo sikuhadithiwa?aliongea kama machozi yanamlenga,lazima tukubali CCM imelazwa chali.
 
oya iyo ki2 imetokea maskani hau masihala....2gether we can change our country thanks man 4 ur post
 
nimependa huyo mtoto alishika bango hapo lililoandikwa "KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA KABIDHI KW DR SLAA" msg sent, hata kama hawataijibu
 
haya ni mapokezi ya kagera wanachama wana kadi za chama chao

IMG_2574-1.JPG
Mbona wanahesabika halafu ukiangalia hivi vikongwe sidhan kama vitapiga kura 2015 ina maana kufikia 2020 CCM itakuwa imefutika na kuja chama cha kizazi kipya cha DOT.COM au CDM.
 
Hizo kadi mpya, waligaiwa walipokuwa kwenye Lori wanaletwa uwanjani. Halafu mbona nyuso zao hazina hamasa?

Vilevile hapa sio Kagera , hakuna uwanja hapa iwe bukoba au wapio uliozungukwa na miti ya namna hiyo. Muongo huyu jey key kama bwana ake kikwete, hilroooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
haya ni mapokezi ya kagera wanachama wana kadi za chama chao

IMG_2574-1.JPG

Idadi ya waandamanaji Mwanza, Kagera na Musoma nimeiona. Ni ya kawaida tu. Haipishani sana na idadi ya watu waliokuwa wanajitokeza katika mikutano ya kampeni ya DR SLAA. Na ukweli wa wazi ni kwamba idadi hiyo haifikii hata idadi ya asilimia kumi ya wakazi wote wa miji husika. Ni ukweli usiopingika kwamba watu wa vyama vingine wakiitisha maandamano au mikutano yao wanaweza kupata idadi hiyo hiyo pungufu au zaidi. Ni ukweli pia kama ingepigwa kura ya watu wanapinga maandamano ya aina hiyo watu wengi wangejitokeza kuyapinga. Ninachomaanisha hapa ni kwamba idadi ya watu waliyojitokeza katika maandamano ya Chadema hayawezi kuwa kielelezo kwamba watanzania wengi hawaipendi serikali iliyopo madarakani. Bali inaweza kuwa kielelezo kwamba wapo watanzania wasiopenda serikali iliyopo madarakani. Na hilo halina ubishi maana kuna zaidi ya asilimia 30 waliowapigia kura wapinzani.

Mimi nadhani sio sahihi hata kidogo kuyatumia maandamano ya watu chini ya asilimia kumi ya watanzania kuhalalisha kwamba nguvu ya umma haiitaki serikali. Tumejaribu kufanya hilo kwa kura tukathibitisha tofauti. Tujaribu tena mwaka 2011. Vinginevyo tujaribu kwa kutumia Bunge kwa njia halali zinazokubalika kikatiba.
 
Idadi ya waandamanaji Mwanza, Kagera na Musoma nimeiona. Ni ya kawaida tu. Haipishani sana na idadi ya watu waliokuwa wanajitokeza katika mikutano ya kampeni ya DR SLAA. Na ukweli wa wazi ni kwamba idadi hiyo haifikii hata idadi ya asilimia kumi ya wakazi wote wa miji husika. Ni ukweli usiopingika kwamba watu wa vyama vingine wakiitisha maandamano au mikutano yao wanaweza kupata idadi hiyo hiyo pungufu au zaidi. Ni ukweli pia kama ingepigwa kura ya watu wanapinga maandamano ya aina hiyo watu wengi wangejitokeza kuyapinga. Ninachomaanisha hapa ni kwamba idadi ya watu waliyojitokeza katika maandamano ya Chadema hayawezi kuwa kielelezo kwamba watanzania wengi hawaipendi serikali iliyopo madarakani. Bali inaweza kuwa kielelezo kwamba wapo watanzania wasiopenda serikali iliyopo madarakani. Na hilo halina ubishi maana kuna zaidi ya asilimia 30 waliowapigia kura wapinzani.

Mimi nadhani sio sahihi hata kidogo kuyatumia maandamano ya watu chini ya asilimia kumi ya watanzania kuhalalisha kwamba nguvu ya umma haiitaki serikali. Tumejaribu kufanya hilo kwa kura tukathibitisha tofauti. Tujaribu tena mwaka 2011. Vinginevyo tujaribu kwa kutumia Bunge kwa njia halali zinazokubalika kikatiba.

Kama ni hivyo waulize JK, Wassira, Chiligati, Pinda na Tendwa mbona wanapagawa na watu wasiozidi asilimia 10?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom