Maandamano ya CHADEMA Mbeya yaruhusiwa

Arusha walitustukiza hatukuwa tumejiandaa japo siku ya mazishi tulikuwa kamili Kama mbwa wenye vichaa wangekuja kutung'ata,mimi mwenyewe nilikula kitako cha bunduki sema mbio na mbinu zilinisaidia kuwatoka mbwa wenye vichaa kuning'ata..Watanzania wenzangu mlio Mbeya Kama Polisi walishindwa kufanya intelijensia ktk"UPOTEVU WA MABILIONI YA WALIPA KODI EPA,RICHMOND to DOWANS,KAGODA,UBINAFSISHAJI MIGODI,MISHAHARA HEWA ILIYOLIPWA(bilioni48 kwa mwaka mmoja)na nyingine nyingi msikubaliane nao sbb hao Polisi watakuwa wametumwa na Chama cha magamba asilani abadani kataeni.
 
Alberto mbona umepotea? Umesema hizi ni tetesi, tunaomba taarifa zaidi mkuu maana watu tuna hasira hapa.
 
CCM -Rukwa walifanya maandamano jana. inakuwaje CDM wanazuiwa? au CCM wanataka kutuambia kuwa wana hati miliki ya nchi hii? Taarifa za kiinteligensia ni mbinu iliyokuwa inatumika wakati wa TANU lakini cha kushangaza ccm hadi leo hii 2011 wanaelendelea kutimia huu ukurutu. Niseme tu kuendelea kuzuia maandamano ya CDM ni political suicide kwa ccm. They need to grow up na kujibu mapigo na sio kujificha kwa nguvu ya dola. chicken!
 
Wandugu samahani kwa kupotea, nilikuwa na majukumu ya wananchi. Nimezungumza na Dr Slaa akiwa pamoja Prof Safari akanieleza kwamba RPC amesitisha maandamano na kuniambia nijiandae kwa safari ya kwenda Mbeya endapo watathubutu kuwakamata viongozi kwa sababu maandamano na HAKI ya kila mwananchi. Haiombwi.

PakaJimmy, wasiliana na Regia azungumze na DR maana taarifa hiyo nimeipata kutoka kwake moja kwa moja. Safari ya Dr kuelekea Mbeya bado inaendelea na kuna kila dalili maandamano yatakuwepo.

Vinginevyo naona wananchi wa Mbeya watatembea kwenda viwanja husika kwa ajili ya swala na maombi kesho kama watawala hawataki maandamano halafu tuone wakipiga mabomu na risasi zao!!!
 
CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa

Kwa sababu ccm ni watu wa kukurupuka ngoja nikusaidie,
RC maana yake ni REGIONAL COMMISIONER
RPC maana yake ni REGIONAL POLICE COMMISIONER

Na kwa kuthibitisha kwamba ninyi ni watu wakukurupuka na huwa hamsomi vitu, muangalie na mwenyekiti wako hapa anakenuwa meno tu.
167541_1390032369824_1802575517_750317_699599_n.jpg
 
CDM walipewa kibali cha maandamano ? kama hawakupewa basi RC yuko right kwani ndio boss wa mkoa

Sheria inasema CDM au mtu yeyoye aliyepanga maandamano anatakiwa atoe taarifa tu kwa Polisi ili wampe ulinzi.
Siyo kazi ya Polisi kutoa kibali cha maandamano! Hapa ndipo Chama Cha Magamba wanapowatumia polisi kutimiza malengo yao ya kisiasa.

Sitaki yatokee yaliyotokea Arusha. Hivi visingizio vya Ki-intelijensia ni usanii tu! CCM manogopa nini?
Acheni watu wa MBY waandamane maana ni haki yao ya Kikatiba.
 
Kwa sababu ccm ni watu wa kukurupuka ngoja nikusaidie,
RC maana yake ni REGIONAL COMMISIONER
RPC maana yake ni REGIONAL POLICE COMMISIONER

Na kwa kuthibitisha kwamba ninyi ni watu wakukurupuka na huwa hamsomi vitu, muangalie na mwenyekiti wako hapa anakenuwa meno tu.
View attachment 29373

Uko sahihi mkuu ila hapo kwenye red toa weka "ANDER"
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Wametishwa na kushtushwa mno na hii habari, lakini hawajui ndiyo kwanza wanakoleza!!!!!!

Egypt's ex-interior minister sentenced
Habib al-Adly, the face of the crackdown on pro-democracy protesters, convicted for money laundering and profiteering.



Egypt's former interior minister, Habib al-Adly, has been sentenced to 12 years in jail for money laundering and profiteering, according to judicial sources.

Habib al-Adly, hated for the brutality of his police by the protesters who ousted President Hosni Mubarak in February, is one of the most senior Mubarak-era ministers to be put on trial.

His conviction in a Cairo court - coming as Mubarak and his sons are being quizzed for abuse of office - highlights the desire of the generals who now rule Egypt to show their commitment to cracking down on abuse of power and corruption.
Al Jazeera's Rawya Rageh, reporting from Cairo, said the charges were "really at the heart of the request by the protest movement; protesters had been urging the prosecution of these men - former regime officials - in what has been described as a cleansing campaign of state institutions".

"This is going to be welcomed by the protest movement," said our correspondent.

"But still the country's new military leaders despite [their] attempts to bring back the money that was squandered by these men, and to hold these officials acountable, they're still being criticised for moving a little bit too slowly for the protesters' taste."

Al-Adly has been accused of selling land to an interior ministry contractor "illegally and received more than $700,000 dollars in kicks", our correspondent said.

"On Thursday the judge ordered that amount confiscated and also ordered the former interior minister to return more than $2.3m that he had illegally acquired in just three months before the revolution [which toppled Mubarak," she said.

"He was interior minister for 14 years and despite repeated campaigns against him by activists over a lot of accusations and not least of which is brutality and overseeing systematic torture al-Adly was never questioned and managed to retain his position for all these years."

Many Egyptians had been closely watching the fate of Adly, one of the most controversial members of the administration of Hosni Mubarak, because of the crackdown by his police force during the uprising.

Abdallah Schleifer, professor emeritus at the American University in Cairo, told Al Jazeera from London that the charges people are more concerned about involved ordering "security forces to open fire on unarmed demonstrators".

Schleifer said the former minister was "responsible for setting up snipers", adding that "basically the charges he has yet to stand trial for are far more serious".

Source:
Al Jazeera and agencies

Hawa viongozi wetu hawasomi haya, yatafika tu kila mmoja tutakuwa tunawaimbia "tuliwaambia mkapuuza sheria, sasa mwamalizia maisha jela"
 
Wandugu samahani kwa kupotea, nilikuwa na majukumu ya wananchi. Nimezungumza na Dr Slaa akiwa pamoja Prof Safari akanieleza kwamba RPC amesitisha maandamano na kuniambia nijiandae kwa safari ya kwenda Mbeya endapo watathubutu kuwakamata viongozi kwa sababu maandamano na HAKI ya kila mwananchi. Haiombwi.

PakaJimmy, wasiliana na Regia azungumze na DR maana taarifa hiyo nimeipata kutoka kwake moja kwa moja. Safari ya Dr kuelekea Mbeya bado inaendelea na kuna kila dalili maandamano yatakuwepo.

Vinginevyo naona wananchi wa Mbeya watatembea kwenda viwanja husika kwa ajili ya swala na maombi kesho kama watawala hawataki maandamano halafu tuone wakipiga mabomu na risasi zao!!!

Nimeongea na Mkaka mmoja anasema kesho hapatatosha wananchi wamejiandaa kwa maandamano ya amani hawataki kuelezwa kitu chochote wanachojua kesho ni shamrashamra ya kutakasa Jiji kuwa ngome kuu ya Chadema
 
Wandugu samahani kwa kupotea, nilikuwa na majukumu ya wananchi. Nimezungumza na Dr Slaa akiwa pamoja Prof Safari akanieleza kwamba RPC amesitisha maandamano na kuniambia nijiandae kwa safari ya kwenda Mbeya endapo watathubutu kuwakamata viongozi kwa sababu maandamano na HAKI ya kila mwananchi. Haiombwi.

PakaJimmy, wasiliana na Regia azungumze na DR maana taarifa hiyo nimeipata kutoka kwake moja kwa moja. Safari ya Dr kuelekea Mbeya bado inaendelea na kuna kila dalili maandamano yatakuwepo.

Vinginevyo naona wananchi wa Mbeya watatembea kwenda viwanja husika kwa ajili ya swala na maombi kesho kama watawala hawataki maandamano halafu tuone wakipiga mabomu na risasi zao!!!

Akhsante mkuu kwa update.
Magamba wametoka kufanya mkutano Rukwa jana tu hiyo intelijensia haikuwepo? Nape na magamba wenzie wanatembea nchi nzima kuitukana cdm hiyo hawaioni. Intelijensia huonekana pale tu cdm inapotaka kuchukua haki yake.
Nadhani huyu KJ analazimisha ya uarabuni.
Kama hivyo ndivyo, ataaibika.
 
Sio ccm namfahamu vizuri huyu jamaa ni kiongozi mkubwa sana ndani ya chadema. Believe me.

Ni diwani kwa tiketi ya Chadema almashauri ya Moshi, na ni mwanasheria anaemtetea Freeman Mbowe kwenye kesi anayotuhumiwa kumpiga mjinga mjinga mmoja huko kwao Hai. inshort ni mwanasheria mahiri kutoka kanda ya kaskazini.
 
Ni diwani kwa tiketi ya Chadema almashauri ya Moshi, na ni mwanasheria anaemtetea Freeman Mbowe kwenye kesi anayotuhumiwa kumpiga mjinga mjinga mmoja huko kwao Hai. inshort ni mwanasheria mahiri kutoka kanda ya kaskazini.

Thanx, nilkua namjibu yule mjinga.
Mi namfahamu vizuri sana jamaa huyo.
 
Nimeongea na Regia kwa simu sasa hivi akiwa njiani kuelekea Mbeya, anasema wao kama squad ya Uongozi hawana habari na taarifa hizo,wanaendelea na safari yao, na niweke wazi kuwa imemshitua kidogo nilipomuuliza.
Sijui Kiongozi MsandoAlbert kapata wapi taarifa za tetesi hili!

Kama nimem-quote vizuri msando anasema ameongea na Dr. sasa sijui chanzo hasa cha habari ni wapi.
Kama una mawasiliano na Msando jaribu kumpigia au m-PM ili mtuweke sawa hapa jamvini. Au nashauri Alberto kwa sababu namuona humu jamvini atuweke sawa katika hili maana naona na viwavi magamba wameshaanza kudandia treni kwa mbele.
 
Back
Top Bottom