Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Arusha walitustukiza hatukuwa tumejiandaa japo siku ya mazishi tulikuwa kamili Kama mbwa wenye vichaa wangekuja kutung'ata,mimi mwenyewe nilikula kitako cha bunduki sema mbio na mbinu zilinisaidia kuwatoka mbwa wenye vichaa kuning'ata..Watanzania wenzangu mlio Mbeya Kama Polisi walishindwa kufanya intelijensia ktk"UPOTEVU WA MABILIONI YA WALIPA KODI EPA,RICHMOND to DOWANS,KAGODA,UBINAFSISHAJI MIGODI,MISHAHARA HEWA ILIYOLIPWA(bilioni48 kwa mwaka mmoja)na nyingine nyingi msikubaliane nao sbb hao Polisi watakuwa wametumwa na Chama cha magamba asilani abadani kataeni.