..mtu wangu wa karibu ndani ya CCM amenieleza kuwa wanapanga maandamano hapa Dar kwenda ubalozi wa Uingereza.
..wanataka kushinikiza kwamba serikali ya CCM ipewe "change" iliyozidi ktk mauzo ya rada.
..maandamano hayo yataongozwa na NAPE,ANDREW CHENGE,na DR.IDRIS RASHID.
..wanataka kushinikiza kwamba serikali ya CCM ipewe "change" iliyozidi ktk mauzo ya rada.
..maandamano hayo yataongozwa na NAPE,ANDREW CHENGE,na DR.IDRIS RASHID.