Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

Status
Not open for further replies.
Mimi nimefarijika kuona uwepo wao tu .. na imenipa hamasa, ila wewe kama umeshaanza kutoa kasoro ndogondogo kama hizo ntakuwa sijakosea nikisema haupo upande wa waandamanaji.

Hujakosea, huyu hayuko upande wa waandamamaji, yuko upande wa wale wasiojulikana!! Observation yako ni mubashara!
 
Hajafeli mkuu. Usione watu hawako barabarani ukafikiri hakuna kitu. Ogopa sana hali hiyo. Mie naona kaweza kitu flani hivi ndio maana wakuu wote wame pay attantion sana. Siyo bure na tusidharau mioyo ya watu. Dont undermine this has an unseen impact time will tell.
Idiot! Kwani leo si ndio 26/4? Mlidai nchi haitakalika! Wapi! Watanzania hawaendeshwi na hisia za kahaba kuadhimisha siku ya baba yake kulawitiwa!! Ha ha ha ha!
 
Tunakujua kuwa wewe ni mmoja wa wale wasiojulikana sasa kwa post hii ndio umejitokeza kabisa bila kujua kwanini ulikuwa unataka uwaone sura zao hao waandamanaji!! Hata hivyo kama anavyopenda kusema mwenyewe NGOSHA ujumbe umemfikia"message sent and delivered"
Wacha tuwanyooshe tu, na kaponza familia yake pia!!
 
Mange kafanikiwa 90 %. Nguvu ya dola imefanikiwa kuzuia watu mtaani ... anawapa hiyo 10 % kwa vile wamewadhibiti watu kuandamana physically. Mafanikio ya serikali ni sawa na yale wanayoyapata kwenye chaguzi CCM kwa kuhakikisha hakuna fair election.

Kama siyo kweli waruhusu na watoe ulinzi tuone ni kiasi gani cha watu watatokea mtaani kuandama!!
 
Isingewezekana hata kidogo aiseee.....nikikumbuka ATUKU, kuzungusha mikono ya ASAWOL na AHCEJ, wote wakiwa ndani na wakagwaya.....
 
Osama Vs Mange hawa ni watu wawili tofauti kabisa wala huwezi kuwalinganisha
hawajalinganishwa watu, yamelinganishwa mawazo yao na target je? shilingi imeporomoka ama laah.

je serikali imetumia nguvu kuzima maandamano ambayo hayapo na imeingia hasara .

wewe unawaza wamelinganishwa watu
 
Mkuu acha kutuchekecha na makala yako ya kusadikika

maandamano ya mange Kimambi yameshindwa, serikali imeibuka kidedea, ni ushindi Kwa rais Magufuli dhidi ya hujuma zilizoelekezwa kwake.

Kituko zaidi hao unaoita waandamanaji wachache waliojitokeza huko ulaya baadhi wameficha sura zao, inaonyesha ni jinsi gani wameandamana Kimaslahi, si kutoka moyoni, Jinga Sana!
 
Ukweli mchungu...
Wapinzani mkubali tu rais Magufuli kawashika sehemu mbaya mno. Its a time to let him be na wananchi wanamuelewa mno. Maana ingekuwa rais hakubaliki ukweli mchungu tungeona hata rasharasha kwenye mikoa ya Arusha na Mbeya ambapo ufipa wanapaona ni nyumbani, Nasema haya.

Hakuna siku tuliowachache tulitegemea viongozi wa upinzani mngempa sapoti huyo mwenyekiti wenu mpya(Mange) kuhoji mahali trilioni 1.5 zilipo kama leo. Kwa kuingia barabarani. Rejea twitter ya Msigwa kuhusu haya maandamano

Hakuna siku wale wafia upinzani mostly wale wa mtandaoni wangetoa sapoti kwa mwenyekiti na msemaji wa upinzani (Mange) kuhoji yale yote ambayo mmekuwa mkiitisha press kuyahoji.

Sasa najiuliza mtaweza vipi kutushawishi sisi wananchi kuanzia kesho kuhusu hizo trilioni 1.5. Kama tu kelele zenu zimeshindwa kuwapa hasira wananchi including nyie wenyewe...?

Serious ukweli lazima tuseme kwa sasa hamueleweki huyu jamaa kawashika vibaya. 2020 hamtazidi 5 bungeni. Mwenye uhakika ni Prof...Jay.....
Mimi ni mwananchi Ila sijakutuma kunisemea, heshimu mawazo yangu.
 
Tanzania tunahitaji jamii iliyojengwa katika misingi ya kupendana. Yaani kuanzia kiongozi wa juu mpaka wa chini tofauti na sasa kuwa vingoz wetu wanachojua nakuamini ni kuwa wao ndo wanaofanya tanzania yetu isimame!
Nawakumbusha Kuwa MUMGU WETU ANAPENDA WATU WOTE ndiyo maana anataka uthaminiana.
 
Inaonekana diaspora wapo wachache sana. Yani watatu tu?
Kazi mkuu, unafikiri wana muda huo?!
6am-2pm, 2pm-10pm, 10pm-6am!
Unafikiri wengi wao ni kama huyo kahaba wa kuuza sura na nywele feki instagram?!
Kule [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG], bills zinakusubiri, bado ulale, bado ...
Huyo anao muda wa kuchezea tu, na ndio maana wenye akili zao walijuwa kahaba anatafuta KIKI tu za followers instagram..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom