mtanzania07071989
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 153
- 20
- Thread starter
- #21
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Bora wanifukuze,ila nitasimamia ukweli daima.
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
CDM hawatoshiriki hapo.
Tuanze kuonyesha kupinga hilo ongezeko hata kama ni tetesi ili isitokee kweli.Ningekuona wa maana kama tungeanzia kwenye kupanda kwa gharama za umeme kitu ambacho kinamgusa kila Mtanzania hili la Kiinua mgongo kinavyoonekana bado ni tetesi na serikali inaweza kukana maana hadi sasa hakuna aliyetuwekea uthibitisho hapa jamvini juu ya ongezeko hili la Mafao ya wabunge.
Jamani kama kuna wakati wa kuonyesha uzalendo kama watanzania ndio sasa,tuungane wote kupinga upuuzi huu wa wabunge kulipwa milioni 160,hilo ni ongezeko la zaidi ya asilimia 200,kutoka milioni 43 walizokuwa wakilipwa mwanzo kama mafao ya kustaafu ubunge baada ya miaka mitano.CHADEMA,CUF,NCCR,TLP na vyama vingine vya upinzani tuungane TUFANYE MAANDAMANO NCHI NZIMA kupinga unyonyaji huu.Vinginevyo nitawaona wote wanafiki,wachumia tumbo.
acha umburula weweee, unategemea lema kwa hilo la kupunguza mafao ya wabunge muelewane?Wewe ndugu ni mpuuzi Kwelikweli,mafao hayo yameandaliwa na kupitishwa na CHADEMA??!!,sishangai kusikia ulishawahi kuugua kichaa!! Mwezi mchanga ushaandama kwani kesho ni tarehe 1 February!!
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Hahahahaha,
Hapo Mbowe na Lema lazima wakufukuze uanachama kwa kosa la kutaka kupunguza mapato ya wakuu
Kwa mara ya kwanza Chadema wanaoyaona maandamo machungu.
Angalizo pro-Chadema yeyote atakayeshiriki haya maandamao atafukuzwa na atavuliwa uanachama na atakuwa msaliti.
Mimi Ritz tashiriki haya maandamano.
Umemaliza kutukana?cris lukosi nadhani huna akili timamu,nimefuatilia posts na replies zako nikagundua ni mpuuzi tena mjinga mno.haiwezekani thread inazungumzia uzalendo wewe unaleta uchama hapa!acha upu.mbav wewe ni mtu mzima unajifanya ccm wakati hiyo ccm wapo zaidi yako lakini wanasena ukweli inapobidi wewe kikaragosi tu!hebu nibie ktk post hii cdm inakujaje?kila jambo wewe cdm haitusaidii kenge wewe,leo watu wanalia si wa cdm waka ccm au cuf wote wanalalamikia 160m kwa wabunge wewe umekalia mbowe;slaa,shit!huna mchango go to toilet ----in man.