Maandamano Makubwa Kupinga Muungano - Baada ya Swala ya Ijumaa, Zanzibar!

Sisi Wabara kweli ni wussies hamna mfano. Wengi tunasema Muungano hauna faida kwetu na tunasema tunauchukia sana, halafu tunasema tunaombea Wazanzibar ndio waupinge ili sisi tupone! What kinda sissy punks are we?

Ni sawa na mwanamke (sisi Wabara) amechoka vipigo vya mumewe halafu anaomba mume (Wazanzibar) ampe talaka na nauli ya kurudia kwao aondoke! Badala ya kuvunja li-ndoa unilaterally! Wabongo tunatia huruma.
Tuliisha geuzwa MSUKULE siku nyingi!
 
kama si muungano na tanganyika, zanzibar ingekua imepiga hatua kubwa sana ktk maendeleo!muungano huu hauna tija yeyote kwenu zaidi ya kutegemea kila kitu toka bara
 
Wazenji wanaweza ni mashababi, lakini huku bara kuna watoto wa kike wanaoitwa chadema ni kelele tu utadhani changudoa aliyekosa soko, tumewachoka.
 
Baada ya wanaharakati kufikisha madai yao na barua yao UN Zanzibar hapoi last week zidi ya muungano. Sasa maandamano makubwa kupinga mungano yamepangwa baada ya swala ya ijumaa 18 Nov 2011. Mandamano yataanzia Komba Wapya ground, na kuishia Maisara grounds yakipitia Kinazini, Msikiti Mabuluu, Mlandege, Michenzani, Madema then kuingia maisara. Lengo ni kujulisha umma/kuelimisha umma juu ya masuara ya muungano Tanganyika na Zanzibar na harati zilizofanyika mpaka kufikisha barua ya kupinga muungano ktk ofisi za UN Zanzibar.
Barua kuhusu maadamano haya wamepelekewa polisi; Kujulishwa si kuombwa ruhusa, pia copy imepelekwa UN Sub office Zanzibar, AG, Police cammander Urban, ZARFA lawyer- Kenya na Media house.

Habari ndo hiyoo anayetaka source asubili Ijumaa!

tushawachoka na kelele zenu bila vitendo. Si umesema ijumaa? Sasa ole wako maandamano yasiwepo, nitakutafuta znz yote mpaka nikupate then niku cameroon.
 
Mimi nawasikitikia wazenji wanavyobanwa na Bara na wameshakuwa mataahira kabisa. Hebu ona hii: Huwa ni fahari kubwa kwa sehemu ndogo ya Muungano kutoa Rais wa Jamhuri. Mwaka 2005 ilionekana wazi kabisa ni zamu ya Zenji kutoa rais wa jamhuri na walikuwa na very strong candidate -- Dr Salim.

Lakini kwa kuwa daima mambo yao ni ya hovyo hovyo tu, Wazenji hawakuta hivyo na walionekana kuwaambia Bara kwamba "Ami sisi urais kutoka kwetu hapana, endeleeni tu huko bara kutoa marais." Pambaff kabisa.

Tangu hapo hawa Wazenji walinichomoka kabisaaaaa!!!! na naona bora sisi wa bara tuzidi kuwakaba koo tu kama koloni. Wajinga sana hawa!!!!
 
Dah yaabi wazenji nawaunga mkono mia mia,mimi mwenyewe sipendi huu muungano kabisa,sijawahi kuona faida yake hata kdg,Tanganyika yetu irudi wapeni zenji yao kila mtu afe na chake!
 
Vunjeni muungano wazenji mjikomboe, maana kusema ukweli inakera sana karne hii kuwa koloni tena kutawaliwa na Tanzania, hata sisi hatuitaki hiyo Tanzania tunaitaka Tanganyika yetu
 
Baada ya wanaharakati kufikisha madai yao na barua yao UN Zanzibar hapoi last week zidi ya muungano. Sasa maandamano makubwa kupinga mungano yamepangwa baada ya swala ya ijumaa 18 Nov 2011. Mandamano yataanzia Komba Wapya ground, na kuishia Maisara grounds yakipitia Kinazini, Msikiti Mabuluu, Mlandege, Michenzani, Madema then kuingia maisara. Lengo ni kujulisha umma/kuelimisha umma juu ya masuara ya muungano Tanganyika na Zanzibar na harati zilizofanyika mpaka kufikisha barua ya kupinga muungano ktk ofisi za UN Zanzibar.
Barua kuhusu maadamano haya wamepelekewa polisi; Kujulishwa si kuombwa ruhusa, pia copy imepelekwa UN Sub office Zanzibar, AG, Police cammander Urban, ZARFA lawyer- Kenya na Media house.

Habari ndo hiyoo anayetaka source asubili Ijumaa!
Kama ningekuwa na 'mapesa' mengi ya kuchezea, ningewahonga wazinzabari wote ili wajitokeze kwa wingi kwenye haya maandamano. Mimi huu muungano unanikeara kama vile kulala kwenye kitanda chenye kunguni wengi.
 
Wajameni , kupinga muungano ni kosa la uhaini!. Nawahakikishia kwa asilimia 100%, hakuna maandamano. Taarifa hizi za maandamano ni furahisha genge tuu, muungano wetu ni zaidi ya ndoa ya kikatoliki!.
Nani kakudanganya? mbona walipeleka barua UN office lakini hakuna aliyewashughulikia? Hata kikwete hajui tatizo ni nini.
 
Kwa mzazi katoto ni katoto tu hata kama kanakunyea utakapakata tu maana usipofanya hivyo kanaweza kulia usiku kucha kakakunyima usingizi buree ! Hata hivyo kama kataona sasa kamekua na hakataki kupakatwa tena, kunaweza kuhama tu na si lazima kautangazie ulimwengu kwa maandamano. Ukiona kanafanya hivyo basi si ajabu labda kanadeka tu ili mzazi akajali zaidi kasije kakaangukia mikononi mwa wazazi wa kambo kama akina Barubaru kutoka Oman.
 
acheni wajitowe, hasara iko wapi? hiyo ni lkaana itakayo dumu milele na milele kwa vizazi vyao, wanachotaka ni kurahisisha upatikanaji wa halua na tende toka uarabuni.
Dah. Kamimbi we ni soooooooooooo mbaya kiongozi. Unajua nilikuwa nasinzia nimeona post yako nimecheka balaaaaaaaa mbayaaaaaaaaaaa. Ebwana we ni so mkuu. Hilo nalo neno aise hapo kwenye "Halua na Tende"
 
Kwa sasa katika jambo ambalo silipendi katika siasa ni hili la muungano. Muungano umekuwa mwiba na pingu kwetu watanganyika. Tunatukanwa, tunakejeliwa na kudhalilishwa lakini sie tumo tu. SIUTAKI MUUNGANO. SIUTAKI MUUNGANO. SIUTAKI MUUNGANO. SIUTAKI MUUNGANO. SIUTAKI MUUNGANO, kamwe sikujua kama muungano una maana ya mambo niliyoyataja hapo juu. Wanzanzibar tunawaibia vunjeni muungano. halafu na sisi watanganyika, tuandamane kuukataa huu muungano.
 
bora ufe tuuuu, sababu muungano umekuwapo kwa maslahi ya wachache. watu wanafaidi kwa miafaka, mara muafaka one, mara muafaka two.........sasa itakula kwao. Lipumba na Makamba wamechuma sana kwenye hiyo miafaka. zenji kazi kwenu, mkishindwa trip hii basi
 
Sasa hao ni Chadema au,maake mibunge ya CUF imeshupalia kuwa wanaotaka kuvunja muungano ni Chadema,jamani CUF siku hizi inatia aibu,huyo Maalimu wa Mikasi anawadanganya kweli wafuasi wake na hicho cheo alichopewa cha kilemba cha ukoka
 
Back
Top Bottom