STALLEY
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 619
- 206
Nimesikikia tetesi kuwa kesho kutakuwa na maandamano makubwa ya amani nchi zima ya waandishi wa habari kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao aliyeuawa huko iringa.NI WAKATI WA WAANDISHI WA HABARI KUUNGANA KUPINGA UKATILI HUU ULIOFANYA NA JESHI LA POLISI. \ /