Maandamano maandamano maandamano kupinga unyanyasaji wa polisi nchi nzima

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Mar 21, 2012
477
120
Maandamano kwa Dar es Salaam yataanzia karibu kituo cha Haki za binadamu nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii kesho saa tatu asubuhi mwambie na mwenzako kama yaliyowapata wapigania haki wengine yanakugusa tafadhali fika bila kukosa na huu ni mwanzo wa kuiambia serikali hakika tunaweza kuwaadabisha.
 
Jamani mlioandaa haya maandamano wekeni sawa hii kauli kwa kuwa issue ya Ulimboka ina pubilic interest, ka hivyo itawavuta wengi zaidi kuupinga uharamia huu! hamasisheni watu wote waingie majiani!
 
haya maneno yameshakuwa mengi sasa ni wakati wa walk the talk
 
Saa ya ukombozi ni sasa. Huu mtiririko wa matukio ni wito wa kuikomboa nchi. Serikali haiwezi kushinda umma. Kiukweli hata rais Zuma aliposhindwa na sheria, umma ndo ulimsaidia kulaani na kuondosha ile picha inayoonesha uume wake. NAUNGA MKONO MAANDAMANO. POWER TO THE PEOPLE
 
Maandamano kwa Dar es Salaam yataanzia karibu kituo cha Haki za binadamu nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii kesho saa tatu asubuhi mwambie na mwenzako kama yaliyowapata wapigania haki wengine yanakugusa tafadhali fika bila kukosa na huu ni mwanzo wa kuiambia serikali hakika tunaweza kuwaadabisha.
tunaandamana kwa faida ya nani? Polisi nadhani watazuia maandamano haya HARAMU
 
Mleta mada wazo lako ni zuri sana lakini ili kuwe na mwitiko mzuri ni vema taarifa ziwe sahhi kwa kutuelewesha nani anaratibu maandamano hayo,nani atahitimisha kwa hotuba,saa ngapi route ni ipi?theme ni ipi.na upanuliwe wigo wa kuyatangaza maandamano haya.
 
Back
Top Bottom