Maandamano maandamano maandamano kupinga unyanyasaji wa polisi nchi nzima

Niko nje shuleni lakini sijalala siku mbili nzima pamoja kwa sana jamani mimi ni mwenzenu na hata maneno ya bango langu ninayo kichwani nimelia sana sana sana na naumizwa sana na wale wanaoleta mzaha humu ndanil, jamani unamuua Ulimboka anahatarisha vipi usalama wa taifa wakati wakina Chenge, Rostam Lowaas, Zoka, Shimbo aliyeiba hela za wanajeshi walio vitani, Zombe yuko nje kauwa wana familia wanne sasa hivi ukoo mzima umejaa umaskini, jaji aliyesikiliza kesi ya zombe huku akijua wazi ameua yuko nje, Kikwete aliyewafunga Babu seya na watoto wake watatu maisha kwa kisa cha mwanamke, kwa kuwa hajawahi kukanusha na tunajua amesikia basi tunaamini ni kweli wote hawa hawajauwa, hata Blandina Nyoni na mchumba wake Mtasiwa walioua wagonjwa muhimbili zaidi ya 700 hawajaguswa hata unyonya, kubenea waliyetaka kumuua wakasema eti anatembea na mke wa watu bado anauguza macho akikaribia upofu ni swala la muda tu, kisa hasa ni nini? tuko pamoja jamani hii n Takriri na sasa tunatanga civil society iongoze na sio political party wakati huo political parties za opposition waitishe kikao cha haraka cha kupanga serikali, hii ya wauaji imefikia basi, wale wa magereza tayarisheni jela chafu kuliko zote maana wako wengi tukianza na msururu hakuna kulala mpaka kusafisha mende wote. Tumeanza na mungu hatutashindawa, tunataka mwamnyange asimame imara, huyo Mwema muuaji wenzao hatumuhitaji maana mbele ya Jeshi watafyata mkia, tunahitaj wapambanaji wote sasa wawe wemesha connect kwa sms, tukiwakuta hakuna kuwaripoti tuwatangulize ili uwe mfano jamani mauaji yote hayo wa kwao hajafa hata mmoja? Kova ajieleze ama sivyo asilale kwake
 
Watanzania msilalamike! Mliyataka wenyewe!! Acheni serikali ifanye kazi yake! Hiyo serikali mnayoilalamikia mliiweka madarakani wenyewe. Mkatanguliza ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa bila kujali uhalisia wa mambo.

Dr Slaa alikwishawaambia: Kuirudisha ccm madarakani ni janga la kitaifa. Lakini hamkutaka kusikia. Sasa tulieni mnyooshwe vizuri hadi hapo mtakapopata akili 2015.
 
Mtoto akililia wembe.........jamani bora kuwa maskini wa vitu lakini tajiri wa roho (uzima).tanzania inatamaniwa sana na wenzetu hivyo njia moja ndogo tu ikipatikana kuivuruga amani kamwe haitolejea
wengi tutakufa na wengine kuwa wakimbizi nchi jirani. Na nchi yetu badala ya kuwa shamba la bibi itakuwa shamba la mwendawazimu.please nsiende kuandamana kama kuna ajenda nzuri ebu ipelekeni panapohusika.
kuna sh. 300 bilion zimefichwa kule uswis.
 
Fukuza Mende wote serikalini. Ingekuwa huku kwetu Arusha chaaaap yangetimia
 
Natamani tuingie barabarani tukiwa na fikra huru na endelevu!
Tujue tunachopigania!
Tujue chanzo sahihi cha uozo huu!
Tujue tutakachosimamia!
Tu-predict wapi tunakotaka kufika!
Zaidi ya hapo, damu zetu zitakuwa ni kazi bure! My BLOOD, is my People's joy! It is ready for SCRIFICE! We have to sacrifice our mind, before body!
Je, wewe umefanya hilo?
Nguvu yetu ni UMOJA na KUTHUBUTU! TUNAWEZA!
Mungu anaita sasa, yu tayari kutushindia!
 
Watanzania Bob marley The Great Philosopher alisema "You can fool some people sometimes but you can not fool all the people all the time"

  • :canada:
 
Leo kuna mbunge kanikera sana anasema eti serikali ijipange kujenga hospitali ya jeshi. Anaendelea kusema eti kwa kuwa jeshi limeonyesha linanidhamu halita goma km sisi raia. Anasema iwe kumbwa kuzidi hat Muhimbili ilikukidhi mahitaji ya wananchi. SWALI; KUkitokea mgoma hiyo hospitali watatibu TANZANIA nzima?, Ni mkakati wa miaka mingapi ikiwa hizi za sasa zinamatatiza kibao? AU kwakuwa watanzania wenye hali ya chini watakao kuwa wanaendelea kutaabika na hali ngum hawamuhusu? Hoa wanajeshi ndio watakubali kunyanyaswa km raia? au kwakuwa wanajua wakiamua kuasi hapata shikika hivyo watawasikiliza zaidi ya raia?Je hili wazo ni sahihi kwa wakati km huu amboa utatuzi wa hii kero inahitajika haraka?
 
Inawezekana taarifa hizi zikawa ni muhimu na kwa wakati muafaka. Hata hivyo ili kufanikiwa katika mambo kama haya lazima kuwepo na mikakati bayana.

Sio lazima kujua aliyeandaa, ila ni vyema kueleza lengo kuu, suala la njia itakayotumika, na hitimisho la maandamano. Pili ingekuwa vyema ikaandaliwa kuwa kutakuwa na maandamano labda siku mbili kabla ya siku husika ili kuwepo uhamasishaji. Ikiwa ni kufanya kwa haraka yawezekana wengi wakawa hawana taarifa na hivyo maandamano kukosa msisimko uliokusudiwa. Tatu ni vizuri ikiwa lengo kweli ni kesho ikatumika njia ya sms, maana wapo wengi hawafiki kwenye mitandao hii kutokana na hali halisi za mazingira na maisha... We shall overcome...
 
Sitaki niamini kama hii thread imeungwa mkono watu kupenda yatokee ya huko Syria kufanya maandamano. Ningependa sheria ichukue mkondo wake kwa yeyote aliyehusika kwa udhalimu dhidi ya Dr. Ulimboka, lakini siungi mkono maandamano. Maandamano sio njia stahili ya kutafuta haki.


kweli jaman bora ndugu zetu wafie tu huko mahospitalin jaman kuliko kuandamana jamani ...sheria itachukua mkondo wake nyie pale itakapoamua jamani.... kaeni tu kimya jamani kwani wakifa ni sie si hao ambao hawana hela.....Mpumbavu wewe leo hii tutaichukua roho yako
 
Niko nje shuleni lakini sijalala siku mbili nzima pamoja kwa sana jamani mimi ni mwenzenu na hata maneno ya bango langu ninayo kichwani nimelia sana sana sana na naumizwa sana na wale wanaoleta mzaha humu ndanil, jamani unamuua Ulimboka anahatarisha vipi usalama wa taifa wakati wakina Chenge, Rostam Lowaas, Zoka, Shimbo aliyeiba hela za wanajeshi walio vitani, Zombe yuko nje kauwa wana familia wanne sasa hivi ukoo mzima umejaa umaskini, jaji aliyesikiliza kesi ya zombe huku akijua wazi ameua yuko nje, Kikwete aliyewafunga Babu seya na watoto wake watatu maisha kwa kisa cha mwanamke, kwa kuwa hajawahi kukanusha na tunajua amesikia basi tunaamini ni kweli wote hawa hawajauwa, hata Blandina Nyoni na mchumba wake Mtasiwa walioua wagonjwa muhimbili zaidi ya 700 hawajaguswa hata unyonya, kubenea waliyetaka kumuua wakasema eti anatembea na mke wa watu bado anauguza macho akikaribia upofu ni swala la muda tu, kisa hasa ni nini? tuko pamoja jamani hii n Takriri na sasa tunatanga civil society iongoze na sio political party wakati huo political parties za opposition waitishe kikao cha haraka cha kupanga serikali, hii ya wauaji imefikia basi, wale wa magereza tayarisheni jela chafu kuliko zote maana wako wengi tukianza na msururu hakuna kulala mpaka kusafisha mende wote. Tumeanza na mungu hatutashindawa, tunataka mwamnyange asimame imara, huyo Mwema muuaji wenzao hatumuhitaji maana mbele ya Jeshi watafyata mkia, tunahitaj wapambanaji wote sasa wawe wemesha connect kwa sms, tukiwakuta hakuna kuwaripoti tuwatangulize ili uwe mfano jamani mauaji yote hayo wa kwao hajafa hata mmoja? Kova ajieleze ama sivyo asilale kwake

Nipo mbali na Dar, ningekwepo ningeandamana hata peke yangu!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom