KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.
Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.
Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.
Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.
Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.