rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Tunajiandaa kufanya maandamamno nchi nzima kwa mara ya kwanza kuunga mkono uamuzi wa serikali ya Tanzania kuamua kuilinda ardhi yetu kwa vizazi vijavyo tunafanya hivyo ili wale wanaofikiri kikwete yuko peke yake kwenye hili wapate picha halisi.
Sisi watanzania bado tunafikiria kama kujiunga na huo umoja wa mafisi au la!
tunaomba tupewe nafasi.
Kikwete mtoto wa Bagamoyo kwa mara ya kwanza tumeona unaipenda nchi yako.
Sisi watanzania bado tunafikiria kama kujiunga na huo umoja wa mafisi au la!
tunaomba tupewe nafasi.
Kikwete mtoto wa Bagamoyo kwa mara ya kwanza tumeona unaipenda nchi yako.