Mwenyekiti UVCCM Taifa aitisha maandano kila Wilaya na Mkoa kuunga Mkono uwekezaji wa Bandari

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,897
941
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

 
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

View attachment 2689781
 

Attachments

  • IMG_1262.MP4
    6.9 MB
  • 3BE02C06-545C-4FC9-8496-9E9673B91442.jpeg
    3BE02C06-545C-4FC9-8496-9E9673B91442.jpeg
    70.4 KB · Views: 1
  • IMG_1068.MP4
    2.1 MB
  • 1CCA5F72-6E9E-4BCF-A8E0-A614139E0F91.jpeg
    1CCA5F72-6E9E-4BCF-A8E0-A614139E0F91.jpeg
    9.9 KB · Views: 1
  • 11994FC9-97B9-4C3B-8494-D58EAA953A9A.jpeg
    11994FC9-97B9-4C3B-8494-D58EAA953A9A.jpeg
    33.9 KB · Views: 2
  • 21D5BAF3-0142-4E17-B714-0E57361B4717.jpeg
    21D5BAF3-0142-4E17-B714-0E57361B4717.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 7D91B742-9702-48E3-83C7-195E650FD213.jpeg
    7D91B742-9702-48E3-83C7-195E650FD213.jpeg
    57.3 KB · Views: 1
  • 29A38B2A-C44D-4E89-A2C6-936189352C83.jpeg
    29A38B2A-C44D-4E89-A2C6-936189352C83.jpeg
    57 KB · Views: 1
  • 35502C7F-D389-459C-8F34-02FFAFA57B47.jpeg
    35502C7F-D389-459C-8F34-02FFAFA57B47.jpeg
    62 KB · Views: 1
  • 843ECF2A-8048-46B7-91F4-645BAC302A72.jpeg
    843ECF2A-8048-46B7-91F4-645BAC302A72.jpeg
    55.5 KB · Views: 2
  • 4443031C-50FF-45E6-9B52-00E9EA92E8F5.jpeg
    4443031C-50FF-45E6-9B52-00E9EA92E8F5.jpeg
    71.8 KB · Views: 2
  • 4F6043B0-A503-4ACD-B5C8-6E20FCD49023.jpeg
    4F6043B0-A503-4ACD-B5C8-6E20FCD49023.jpeg
    58 KB · Views: 1
  • DA8F7B9C-CE88-4648-A84E-5C28D0E4A2F0.jpeg
    DA8F7B9C-CE88-4648-A84E-5C28D0E4A2F0.jpeg
    58.4 KB · Views: 1
  • C912C0B7-9827-426C-9DA5-7F46479211B6.jpeg
    C912C0B7-9827-426C-9DA5-7F46479211B6.jpeg
    23.3 KB · Views: 1
  • BC3C4672-27E2-433D-9DBA-73FB9626A38F.jpeg
    BC3C4672-27E2-433D-9DBA-73FB9626A38F.jpeg
    66.2 KB · Views: 2
  • IMG_0804.MP4
    5.4 MB
  • 8CA3C0C9-A332-49D9-A972-2EE27A7FF0D9.jpeg
    8CA3C0C9-A332-49D9-A972-2EE27A7FF0D9.jpeg
    51.3 KB · Views: 2
  • F6AB2C4C-1157-4562-872C-E7E226D2E22E.jpeg
    F6AB2C4C-1157-4562-872C-E7E226D2E22E.jpeg
    32 KB · Views: 1
  • F64F9D57-7788-488D-879A-D5DE49F92ACC.jpeg
    F64F9D57-7788-488D-879A-D5DE49F92ACC.jpeg
    140.9 KB · Views: 1
  • 364D2F39-69B0-4E3A-8051-FBEC555DE372.jpeg
    364D2F39-69B0-4E3A-8051-FBEC555DE372.jpeg
    55.3 KB · Views: 1
  • DBD45D5B-6D40-473C-9A1D-B03A2FCB4A4E.jpeg
    DBD45D5B-6D40-473C-9A1D-B03A2FCB4A4E.jpeg
    75.7 KB · Views: 1
  • 1A4D75F0-DC3B-42E3-BC89-D724239D7180.jpeg
    1A4D75F0-DC3B-42E3-BC89-D724239D7180.jpeg
    150.5 KB · Views: 1
  • 6615BDA1-7ACA-4198-B5F0-FCC6C4AB20D1.jpeg
    6615BDA1-7ACA-4198-B5F0-FCC6C4AB20D1.jpeg
    131.1 KB · Views: 1
  • D3648B96-0D04-4EDD-9CB5-D87C2C63FE58.jpeg
    D3648B96-0D04-4EDD-9CB5-D87C2C63FE58.jpeg
    55.1 KB · Views: 1
Komredi Chongollo keshasema swala la Bandari ni la CCM

Sasa mnajiandamania Wenyewe

Chongollo ameshahitimisha sasa tuendelee na mambo mengine kuanza kufundishana maandamano siyo jambo jema nyakati Hizi huko Israel kidume Netanyahu kimelazwa baada ya maandamano mfululizo😂😂
 
Maandamano ni haki yenu kikatiba, ila pia weka hapa kibali kutoka police cha kuwaruhusu kuandamana kikiwa na tarehe mliotuma maombi ya hiyo police permit
 
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

View attachment 2689781
Wa kawaida sana pamoja na kozi yake ya u-chawanism hawajui hata wanachokitetea wanafuata tu upepo wa chongolo na waziri mkubwa, nashauri waache maandamano waitishe mdahalo na upande wa wanaouita mkataba ni mbovu,washindane kwa hoja watanzania watapambanua nani yuko sasahii kwa mujibu wa mkataba kwa masilahi ya taifa
 
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

View attachment 2689781
Nilijiuliza cku kadhaa mbona uvccm wapo kimya kusapoti kwa vitendo issue ya DP world! Kumbe walikua njian kuandaa maandamano 🤣🤣🤣🤣🤣!!! Hivi Taifa linaweza songa mbele bila kua na nguv kaz yenye ku reason mambo? Ila uvccm cjui ni sababu ya mwenge 🤔🤔
 
Kitendo tu cha kuitisha maandamano kinaonesha kuna jambo linalazimishwa, hao waandamanaji wapuuzi watazomewa kote watakapopita mpaka wajute

Na wakiendelea na huu ujinga wao, iko siku watakutana na maandamano ya wanaopinga huo uwekezaji wa kihuni, polisi wasithubutu kuyazuia, akuanzae mmalize.
 
Hayo maandamano Niko Dar kuyasubiri niyaone kwa macho yangu.

UVCCM KWA MARA YA KWANZA MTAAIBIKI MCHANA PEUPE.

Hakuna kijana wa kuandamana Hata mmoja tena Dar??

Kwanini Usichukie vijana kutoka visiwani kuja kuandamana Dar?
 
UVCCM Mkiwa mnaandaa maandamano andaeni na polisi wa kuwa Linda vinginevyo mtapigwa hadharani.
 
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

View attachment 2689781
Safi sana,haya ndio maandamano wananchi tunataka.
 
UVCCM wakishapewa fanta na maandazi mawili unafikiri kuna la maana watakalofikiria.Hao vijana wana vichwa ambavyo ni mifuniko ya shingo.Hakuna vijana wapumbavu kwenye hili taifa kama UVCMM.
 
Wat
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amesema tarehe 18 Julai, 2023 yataanza maandamano Mkoa wa Dar es Salaam ambayo yatafanyika nchi nzima (Wilaya & Mkoa) kuunga mkono uwekezaji wa bandari na DP World.

"Jumuiya ya Umoja wa Vijana tumeamua kufanya maandamano makubwa katika kila Wilaya na kila Mkoa kwaajili ya kuunga mkono uwekezaji wa bandari ambao unafanywa kwa manufaa ya Watanzania wote na kupinga jitihada za wanaokusudia kukwamisha mchakato kwasababu dhamira yao sio nzuri maana wengi wao wanakusudia kuvunja amani ya nchi yetu na wapo ambao wamenunuliwa" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti UVCCM Taifa

"Hii si mara ya kwanza kwa nchi yetu kuingia makubaliano na nchi zingine, tunayo makubaliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya watu wa Uganda ambayo yalifanyika mwaka 2017 kwaajili ya bomba la mafuta. Kwahiyo, huu ni muendelezo wa ushirikiano baina ya nchi yetu na nchi zingine" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Maandamo haya tutaanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 18 Julai, 2023. Nawahamasisha Vijana wote wapenda maendeleo, wanaopenda kuona mafanikio ya Serikali yetu na vijana wote walio na dhamira ya dhati kwa nchi yetu, Tukutane Dar es Salaam" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

"Tunamtaka msajili wa Vyama vya Siasa nchini kuchukua hatua za makusudi kama ambavyo Sheria ya Vyama vya Siasa inavyomuelekeza kuchukua hatua kwa Chama chochote cha Siasa kinachohamasisha siasa za kuigawa Tanzania au kwa Kiongozi yeyote wa kisiasa atakayetumia lugha ya dhihaka" - Ndugu Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

View attachment 2689781
Watamzuia ili wanaopinga huu mkataba nao wakitaka kuandamana wakatazwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom