Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Kuna recruitment ya madr toka china kama 1000 hivi wanaandaliwa kuja kule hawana kazi ya kufanya
Mh hao wa kichina wanatumia miujiza kutibu? Maana tatizo sio madaktari, tatizo KUBWA mi ukosefu wa vifaa vya kutibia