Maamuzi magumu...!

...umeichambua vizuri Lizzy,....

unajua, hata kwangu mimi huo msemo wa "better the devil you know, ...." wakati anasisitiza abuses kwenye past relationship, ndio zilizonifelisha mtihani huu mbu mie...

kwa mtazamo wangu, kuna weakness yake/zake ambazo anajikubalisha kwa "zimwi limjualo..." ambaye angalau wanaweza kukaa chini na kuya address matatizo yao, kuliko hizo "excess baggages" kuhama nazo kwa huyu ambaye bado hajaji commit naye 100%...au?
Mbu tatizo ni kwamba inawezekana hizo weakness ndizo zilizokua zinasababisha matatizo huko kwa ''mazimwi yamjuayo''. Yani inawezekana namna ya wao kudeal nazo ilikua kumyanyasa (kipigo..matusi etc) kwa maana hiyo hawazikubali japo wanazijua. Sasa akitumia hicho kigezo cha ''angalau wao wananijua tayari, na kunitaka turudiane ina maana wanakubali mapungufu yangu'' atakuja kushangaa watakaporudia tabia zao na kuanza kumwadhibu tena kwa mapungufu aliyonayo.

Kuhusu kumpelekea huyo mpya ''excess baggages'' yaweza isiwe hivyo upande wa mwenzake. Tatizo ni kwamba watu waliopo kwenye position kama ya huyo dada huwa wanamwaundermine zimwi mpya.Bila kujua wanajiamulia kabisa kwamba matatizo yao ya nyuma yatakua mzigo sana kwa mtu mwingine, wakati pengine huyo mtu mwingine hana mawazo ya aina hiyo.

Huyo dada aangalie tu asije akammwaga huyo kaka mpya kwa zimwi limjualo baadae akarudi na kukuta mwingine alichukua nafasi na kubaki kutamani ingekua yeye.
 
Alafu Mbu tukiachilia swala la yupi anamfaa...yupi hatomla akammaliza yeye kama yeye ANAMPENDA YUPI?? Yani bila kujali manyanyaso..kutokujua ya mbeleni anampenda yupi?

Nadhani sina haja ya kuchangia tena hii sredi, hili ndo lilikuwa liwe suali langu. Ama kweli mkipendana sana two become one, khaaa! umeiba ubongo wangu honey!
 
Mbu

Kuna kitu kimoja ambacho nataka kukigusia ambacho sijui yeye kinamhusu au la. Lakini wanawake wengi waliokuwa kwenye abusive relationship huwaelezi kitu kwa wanaume hao. Yaani wanakuwa kama wameshikiwa akili. Na huo mvuto wanaouhisi kwa hao wanaume walio wa abuse hawawezi hata kuu control, ni kama vile wanataka ku prove kitu kwao.

upo sawa kabisa....imeniwia ngumu kwangu mimi kwani hata thread ya misukule niliwahi kuanzisha juu ya hili...


Kwenye mapenzi kukumbushana mabaya ya nyuma ni kosa kubwa sana wapenzi wanalifanya. Wakirudiana there is big chance wakalifanya hili kosa. Isitoshe risk nyingine ya kurudiana ni magonjwa(naomba mnielewe hapa).

But kikubwa zaid ini yeye mwenyewe yupi anadhani anamfeel zaidi na anaweza kufanya maamuzi.

mkuu sizinga, kati ya hao watatu wote wana nafasi zao tofauti kwa huyu mdada....
images

"amepoteza uwezo wa kuamua!" ndio maana anataka ushauri kwangu.

Kabla sijalewa zaidi....
Mheshimiwa Moskwito labda uniweke sawa kidogo.

Ni yupi kati ya hao wawili ambaye anatamani kurudiana naye? Kwa sababu kama ni wote, namshauri abaki na huyu wa sasa!!

Naomba unambie kabla sijalewa zaidi nikaharibu mazima.

...aisee usilewe kwanza....

unasema, amshikilie huyu wa tatu ambaye labda bado hajaona makucha ya huyu dada ambayo
mwenyewe anajionea ni bora wale wanaomjua? aisee...hii sredi ngumu kwangu...!
 
Alafu Mbu tukiachilia swala la yupi anamfaa...yupi hatomla akammaliza yeye kama yeye ANAMPENDA YUPI?? Yani bila kujali manyanyaso..kutokujua ya mbeleni anampenda yupi?

Nadhani sina haja ya kuchangia tena hii sredi, hili ndo lilikuwa liwe suali langu. Ama kweli mkipendana sana two become one, khaaa! umeiba ubongo wangu honey!

...Lizzy,
kwa tafsiri yake, wote aliwapenda kwa nyakati zao...
tena aliwapenda kupita maelezo,...kuliko anavyompenda huyu wa sasa,...
nilivyomuelewa mimi,...past relationships zimemfanya awe mwangalifu zaidi
anavyopenda...

ila wewe klorokwini sasa unanichanganya...
juzi si ulisema tutafute partners ambao wanaweza vumilia mapungufu yetu?
ujue msemo huo ndio ulionikosesha jibu kwa mdada huyu, ....hebu saidia hapa.
 
...Lizzy,


ila wewe klorokwini sasa unanichanganya...
juzi si ulisema tutafute partners ambao wanaweza vumilia mapungufu yetu?
ujue msemo huo ndio ulionikosesha jibu kwa mdada huyu, ....hebu saidia hapa.

Hehehe unajua mkuu malawyer huwa tunaflow kutokana na hisia za client wetu, usisahau kwamba mjadala wa juzi ulikuwa general na unazungumzia reality in general, huu wa leo unamjadili mtu specific ambae mpaka sasa anaonekana hajielewi, sasa hapa ndio msemo wa "Follow your heart" unapoapply ili kuifanya worst situation kuwa moderate.

heheeh nitarejea zaidi baadae aisee nawahi mtanange.
 
...Lizzy,
kwa tafsiri yake,
wote aliwapenda kwa nyakati zao...
tena aliwapenda kupita maelezo,...
kuliko anavyompenda huyu wa sasa,...
nilivyomuelewa mimi,...past relationships zimemfanya awe mwangalifu zaidi
anavyopenda...

ila wewe klorokwini sasa unanichanganya...
juzi si ulisema tutafute partners ambao wanaweza vumilia mapungufu yetu?
ujue msemo huo ndio ulionikosesha jibu kwa mdada huyu, ....hebu saidia hapa.

Sawa aliwapenda tena sasa ila sasa hivi anampenda yupi zaidi ya mwenzake??

Anatakiwa achukue muda kufikiria sasa hivi /aachane na ya kale ili apate mwongozo toka moyoni wa wapi aende ..
 
Natamani nijue,

Huyu binti wa kitasha anataka arudiane na yupi kati ya hao wawili waliomtenda?

Nahofia asije akawa ana mpango wa kuwarudia wote wawili...... afu amtelekeze huyu kipoozeo wa sasa.

Ni hatari kwa usalama na afya yake.
 
Hehehe unajua mkuu malawyer huwa tunaflow kutokana na hisia za client wetu, usisahau kwamba mjadala wa juzi ulikuwa general na unazungumzia reality in general, huu wa leo unamjadili mtu specific ambae mpaka sasa anaonekana hajielewi, sasa hapa ndio msemo wa "Follow your heart" unapoapply ili kuifanya worst situation kuwa moderate.

heheeh nitarejea zaidi baadae aisee nawahi mtanange.

.....hahaha...aisee ule msemo una apply kote kote bana,...
mapenzi sawa na sumu, hayaonjwi kwa kidole!

poa poa,...nami soon nitaweka commercial break hapa...

Sawa aliwapenda tena sasa ila sasa hivi anampenda yupi zaidi ya mwenzake??

Anatakiwa achukue muda kufikiria sasa hivi /aachane na ya kale ili apate mwongozo toka moyoni wa wapi aende ..

...Lizzy, hujawahi kumbwa na baby come back wewe? usiombee...
achilia mbali kila mdada akiingia ofisini anakumbana na bouquet jipya la roses mezani kwake...
images
...lakini pia na mfululizo wa romantic phone calls ambazo jamaa wanakumbushia "those sweetest memories...."
kwa kifupi, mdada hivi karibuni anajiskia "kupendwa" na kuthaminiwa sana na hao ex wake kuliko na aliyenaye sasa.
 
.....hahaha...aisee ule msemo una apply kote kote bana,...
mapenzi sawa na sumu, hayaonjwi kwa kidole!

poa poa,...nami soon nitaweka commercial break hapa...



...Lizzy, hujawahi kumbwa na baby come back wewe? usiombee...
achilia mbali kila mdada akiingia ofisini anakumbana na bouquet jipya la roses mezani kwake...
images
...lakini pia na mfululizo wa romantic phone calls ambazo jamaa wanakumbushia "those sweetest memories...."
kwa kifupi, mdada hivi karibuni anajiskia "kupendwa" na kuthaminiwa sana na hao ex wake kuliko na aliyenaye sasa.

Haahhahaha...Mbu as tempting as the ''baby come back'' period sounds I would never fall for it.
Kama bitter memories overpower the sweet memories (which would probably be the reason we parted on the first place) hakutakua na kuangalia nyuma maana hamna matuamaini. Kwanini nirudi sehemu ambayo nilishajaribu kuwepo nikashindwa bana?Nini kitakua kimebadilika??

Huo uzuri atakaokua anaonyesha wakati huo (ambao nadhani ndio unawakamata wengi na kuwafanya waamini mambo yatakua bora zaidi) ndiyo alioonyesha mwanzo wakati mahusino yanachipua (sababu amabyo ndio inakamatisha kwa mara ya kwanza) ..na baada ya hapo akaonyesha upande ambao haukuvumilika kwanini uamini kwamba this time upande huo hautatokea baada ya wewe kumkubalia tena??
 
... u-NUNGAYEMBE ni ugonjwa, ambao aghalabu huletwa na hali ya mtu kuwa na NDOTO za kuwa na 'mwenza perfect'
 
... u-NUNGAYEMBE ni ugonjwa, ambao aghalabu huletwa na hali ya mtu kuwa na NDOTO za kuwa na 'mwenza perfect'

Mwenza aliyekamilika ni relative.
We unataka watu wawe na watu wanaowateat vibaya..wanaowanyanyasa..wanaowaingiza matatizoni kwa sababu ya kuogopa kuitwa kama unavyoshawishi wewe???Watu kama wewe ndio wanaofanya wengine wafe kwa kuvumilia yasiyovumilika.
 
Back
Top Bottom