Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
ni hivi....;
maishani mwake amewashi kuwa kwenye mapenzi serious (namaanisha long term, sio chini ya miaka mitatu) na wanaume wawili, ila;
- alisitisha mahusiano na mwanaume wake wa kwanza sababu ya "abuses," physical na psychological...
- alisitisha mahusiano na mwanaume wake wa pili sababu ya "abuses," physical na psychological
- hivi sasa, yupo kwenye mahusiano yasiyozidi mwaka mmoja na partner mpya.. ambaye yupo ok,...sio angel wala devil...
tatizo alilonalo...wale spouses wa mwanzo kila mmoja kwa nafasi yake, wanafanya jitihada usiku na mchana kumshawishi huyu mdada awafikirie upya, kwani pamoja na kwamba hawaku move on kuoa wanawake wengine...pia waliamini time is a healer...ipo siku mwanadada atajichungua upya na kugundua naye alichangia kutokezea breakups hizo...
kwa ushauri wenu, mdada huyu anapaswa kui handle vipi situation hii?...
natamani kumwambia ajaribu wa tatu, lakini mapenzi ni sumu, hayaonjwi!
kwani namuogopea asijejipa matumaini sana kwa huyu watatu
halafu matokeo yake huko mbele ya safari abakie akiilaani bahati yake...
mind you, tafsiri ya abuses huenda inatofautiana baina ya mtu na mtu, au jamii na jamii....
mwenyewe ananisisitiza -" better the devil you know,...!"-
...halahala jamani, mbu mie nasubiriwa na jibu langu jumatatu asubuhi...khaaa!?