Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kuna taarifa zilioenea chini kwa chini kuwa Makamo wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi ni mgonjwa.
Nashangaa tu habari hii imekuwa kama imefichwa sijaisikia kwenye magazeti wala vyombo vya habari.
Mwenyezi Mungu amjaalie uzima na arudi katika afya yake ya kawaida.
Nashangaa tu habari hii imekuwa kama imefichwa sijaisikia kwenye magazeti wala vyombo vya habari.
Mwenyezi Mungu amjaalie uzima na arudi katika afya yake ya kawaida.