Zanzibar 2020 Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu,

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
Kwakweli upo sahihi, inshort Babu Seif akalee wajukuu tu ss, He is outdated
 
Mabeberu hao hao ndio wanafundisha polisi wetu..wanatupatia bure chanjo za polio..surua.tetenasi.arv..ndui.nk
Wewe unakariri mfano wa kasuku..
Bora ungenyamza usitiri UPUMBAVU
wako
Hahaha so unadhani Kama wanatoa support kwa polisi ndio tuuze nchi yetu kwa Mabeberu???? Kwanza hao wote tunawalipa sio kwamba et wanakuja kufundisha bure and by the way kwa muda huu kwenye vyuo vyote hatuwategemei mabeberu tushaanza kujitegemea kwa Kila kitu
 
Vijana wamepata fursa, gari unaekewa full tank, daladala full tank na hela ya bosi, bodaboda na wao ivo ivo, utakosa watu kweli wa kukusindikiza? Wanavaa flana za CCM hata kama huna lesnei husimamishwi unaachiwa. Sasa fursa ya ulaji imetokea watu wanakwenda tu. Siku ya sanduku CCM inaona suprise tu :D
Endelea kujidanganya tu ivo ivo,
Hutaamini
 
TandaleOne,

..Unguja ni ngome ya Hussein Mwinyi.

..Pemba ni ngome ya Maalim Seif.

..Je, Hussein Mwinyi ana wafuasi wa kutosha ndani ya ngome ya Maalim kuweza ku-tip the balance in his favour?

..Au, Maalim Seif ana wafuasi wa kutosha Ungoja ambako ni ngombe ya Hussein ili aweze kupata ushindi?

..Naamini mshindi ktk mpambano huu atakuwa ni mgombea au chama kitakachoweza kulinda ngome yake, halafu kikaweza kupata kura kiduchu za ziada toka ktk ngome ya upande wa pili.
 
Ikiwa mnakubalika kiasi hicho kwa nini mnaogopa sanduku la kura?
Waacheni wagombea mshindane kwenye sanduku la kura.

Kwa nini vitambulisho vya kura watu wananyimwa Zanzibar?
 
Munajifurahisha. Baada ya pingamizi zenu FEKI halafu kutishia askari 3200 kisha kuwapa masheha uniform za CCM na kuhakikisha kila mmoja kavaaa na kaenda mkutanoni. Tena wanafunzi wote wa sekondari lazima waende mkutanoni pamoja na wafanya kazi wa serikali. Hilo bado, jee wale walioletwa kwa meli kutoka unguja na daresaalaaam. Kwa hiyo ile mipango yenu ya kulazimisha haitofanikiwa. Kama walivo mkataa Ali Hassani Mwinyi, wapemba hawawezi kumkubali mtoto wake. Kosa alilowafanyia wapemba hajadiriki hata kuomba samahani.
 
Ahaa
Huu ni ushamba Mkubwa sana wa mtu kuanza kuhoji masuala ya Lugha badala ya kuzungumzia hoja iliyopo mezani unaanza kuzungumzia Lugha ndo maana Kila siku tunawaambia Wapinzani mmekubwa na ushamba Mkubwa sana wa kujiona mnajua sana kiingereza na mkaaanza Hadi kuwadharau wasiojua kiingereza

Sasa tunapata mashaka Kama asilimia kubwa ya watu mnaowaomba kura hawajui kiongereza sasa mbona mnawadharau???
Ahaaaa🤣🤣🤣🤣 relax DUDE
 
Bw
TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
Bwana waliwafata wasanii wakina kiba nawengine kupata karidhiki waliko dhulumiwa miaka5 ndiomuda wake huu
 
Yaani CCM Zanzibar wanapenda kujifariji sana.

Nani asiejua kuwa wanafunzi kuanzia Form 1 mapak 6 wameambiwa lazima waende mkutanoni? Tunajua kuwa wafanyakazi wote wa umma mmewalazimisha kwenda kwenye mkutano na wasipokwenda kibarua kitaota nyasi. Vipi kuhusu wana CCM mliowakomba Unguja na kuwapeleka Pemba kwa kutumia pantoni ya Sea Express 1? Masheha wakigawa shati na kofia usiku kwa kila mtu bila kujali chama gani :D :D :D

CCM haijawahi kukubalika Pemba na wala haitokubalika. CCM wenyewe hawaipendi Pemba na wapemba wake. Walisema mpemba kuingia ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini!
Baada ya uliyoyaandika naomba nikuulize, unamjua Rais wasasa..? anatokea wapi na ni wa chama gani..?
 
Ikiwa mnakubalika kiasi hicho kwa nini mnaogopa sanduku la kura?
Waacheni wagombea mshindane kwenye sanduku la kura.

Kwa nini vitambulisho vya kura watu wananyimwa Zanzibar?
 
Mwinyi ni Raisi anaesubilia kuapishwa huyo babu yenu kama huko hamna wajukuu mleteni alee wanangu
1600349712420.png
 
Back
Top Bottom