Zanzibar 2020 Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

Hao ni vijana wamesafirishwa kutoka Unguja na Tanganyika kwenda kufuta aibu. Pemba hata ukaeka jiwe na mgombea wa CCM kwa hakika tutalipigia kura jiwe hatuwezi kabisa kupigia kura CCM wametuuwa hao jamaa hatutosahau maisha yetu.
Husein mwinyi anasubiri huruma ya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi ila mara hii hatutaki ukhanithi ataliwa mtu kichwa. Husein asubiri nafasi ya makamo wa kwanza wa Raisi hawezi arudi kwao Mkuranga.
 
TandaleOne,

..Unguja ni ngome ya Hussein Mwinyi.

..Pemba ni ngome ya Maalim Seif.

..Je, Hussein Mwinyi ana wafuasi wa kutosha ndani ya ngome ya Maalim kuweza ku-tip the balance in his favour?

..Au, Maalim Seif ana wafuasi wa kutosha Ungoja ambako ni ngombe ya Hussein ili aweze kupata ushindi?

..Naamini mshindi ktk mpambano huu atakuwa ni mgombea au chama kitakachoweza kulinda ngome yake, halafu kikaweza kupata kura kiduchu za ziada toka ktk ngome ya upande wa pili.
Mshindi hapa anajulikana ni Mgombea wa Chama ambacho hakijatikiswa na jambo lolote, maana vingine vyote vimeyumba
 
Ikiwa mnakubalika kiasi hicho kwa nini mnaogopa sanduku la kura?
Waacheni wagombea mshindane kwenye sanduku la kura.

Kwa nini vitambulisho vya kura watu wananyimwa Zanzibar?
Hatuogopi ushindani wewe ndio maana tupo tuna Nadi sera zetu kwa wapiga kura ili watuelewe sera zetu
 
TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu,

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
Sijui kama una fahamu kama kuna mtu alikimbiwa msikitini unguja?sijui kama unajua kuna mtu alisababisha watu wapigane baada ya kuulizwa shule aliyosoma Kule zanzibar
 
Munajifurahisha. Baada ya pingamizi zenu FEKI halafu kutishia askari 3200 kisha kuwapa masheha uniform za CCM na kuhakikisha kila mmoja kavaaa na kaenda mkutanoni. Tena wanafunzi wote wa sekondari lazima waende mkutanoni pamoja na wafanya kazi wa serikali. Hilo bado, jee wale walioletwa kwa meli kutoka unguja na daresaalaaam. Kwa hiyo ile mipango yenu ya kulazimisha haitofanikiwa. Kama walivo mkataa Ali Hassani Mwinyi, wapemba hawawezi kumkubali mtoto wake. Kosa alilowafanyia wapemba hajadiriki hata kuomba samahani.
Naamini sanduku la kura ndilo litakalotuthibitishi kuwa Mwinyi anakubalika
 
Hao ni vijana wamesafirishwa kutoka Unguja na Tanganyika kwenda kufuta aibu. Pemba hata ukaeka jiwe na mgombea wa CCM kwa hakika tutalipigia kura jiwe hatuwezi kabisa kupigia kura CCM wametuuwa hao jamaa hatutosahau maisha yetu.
Husein mwinyi anasubiri huruma ya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi ila mara hii hatutaki ukhanithi ataliwa mtu kichwa. Husein asubiri nafasi ya makamo wa kwanza wa Raisi hawezi arudi kwao Mkuranga.
Mwone na huyu anaota ndoto ya mchana. Hivi unadiriki kusema upupu Kama huuu kabisa kwenye umma umesahau CUF Chama chake na huyo mzee kimemeguka na makundi mawili ACT Wazalendo na CUF so kura alizozipata 2015 zimegawanyika
 
Hao ni vijana wamesafirishwa kutoka Unguja na Tanganyika kwenda kufuta aibu. Pemba hata ukaeka jiwe na mgombea wa CCM kwa hakika tutalipigia kura jiwe hatuwezi kabisa kupigia kura CCM wametuuwa hao jamaa hatutosahau maisha yetu.
Husein mwinyi anasubiri huruma ya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi ila mara hii hatutaki ukhanithi ataliwa mtu kichwa. Husein asubiri nafasi ya makamo wa kwanza wa Raisi hawezi arudi kwao Mkuranga.
Hao ni wazanzibari kabisa
 
Ok. Zamu hii wazanzibari na watanganyika wamejiapiza kulinda kura zao na kula sagani moja na wezi wa CCM
Mlinzi wa kura ni tume ya taifa ya uchaguzi nakushangaa unavyonambia kuwa wamejiapiza kulinda kura hao ni tume???? Au unazungumza ili na wewe uonekane kuwa unajibu comments
 
TAKWIMU HAZIDANGANYI

Kwa kawaida Kisiwa cha Pemba limekuwa chini ya himaya ya Maalim Seif kwa muda mrefu, mara zote kura za Pemba zimekuwa ni kura za uhakika kwa Maalim, kwa kifupi Pemba ilikuwa ni Ngome ya Maalim Seif, ukweli huu kwasasa umebadilika. Mapokezi ya Dkt Mwinyi jana yamekuja na taswira mpya ya Pemba.

Twende sawa kitakwimu,

Kura za CCM Pemba hazijawahi kuzidi 20,000 kati ya kura 125,000 zinazopigwa miaka ya 2010 na 2015. Mwaka huu wa 2020 wamejiandikisha wapigakura wapya 23,000 na kufanya idadi ya wapiga kura kufikia 148,000 kwa Pemba.

UMATI wa Wapemba uliojitokeza Gombani jana ni zaidi ya watu 60,000. Hawa ni mbali na wale waliojipanga mabarabarani wakimpokea Dkt Mwinyi akitoka Airport.

FACTS ON VOTER'S BEHAVIOR

1: Wapemba sio Wanafiki

Kwa waPemba tofauti za kiitikadi zinafanana kabisa na itikadi za kidini. Mtu akishajidhihirisha katika Dini yake anakuwa muumini kamili. Wapemba wamedhihirisha Imani yao kwa sasa.

2: Wapemba wanapiga kura
Wakati wote ambapo takwimu za wapiga kura zinapungua Tanzania Bara, Pemba hazijawahi kupungua, wakati wote over 95% ya waliojiandikisha hujitokeza kupiga kura. Mpemba aliyekuwepo Uingereza, Italy, Dubai, Oman, Qatar, Kamachumu, Liwale, Kakonko na hata Ukala, atajiandikisha na kuhakikisha anasafiri umbali wowote aliopo kwenda kupiga kura.

3: Wapemba wengi (wafuasi kindakindaki wa Seif ni Diaspora) Kwa maana hawaishi Pemba, ndio maana mipango ya ushindi ya ACT Wazalendo imeenda kupangwa Dubai. Kwa hali ya Dunia kwasasa ambapo kuna Corona na Lockdown katika nchi zenye wafuasi hao kama ilivyo Uingereza, Ulaya na Canada pamoja na nchi za kiarabu ni wazi watashindwa kushiriki kupiga kura mwaka huu.

4; Umri wa Wapigakura.
Ukweli ni kwamba Idadi ya Wapemba wahafidhina (wafuasi wa Seif) imeendelea kupungua kwenye daftari la wapigakura. Vijana wenye maono,elimu na matarajio mapya wamejiandikisha kwa wingi. Age Sex structure inaonyesha 40% ya wapiga kura wana umri chini ya miaka 35 na walio na umri wa chini ya miaka 50 (Umri wa Mgombea wa CCM Dkt Mwinyi) ni asilimia 87 ya wapigakura (Age mates)

Ikiwa Maalim Seif ana miaka takribani 80, umri huo (miaka 75 - 85) kwenye daftari la wapigakura ni pungufu ya asilimia 1. Hawa ndio waliokuwa pamoja na Maalim, kusoma pamoja na kuishi pamoja. Kwa ufupi watu ambao wanamjua na kumfahamu Maalim Seif kwa undani kabisa.

5; CCM imejipanga Pemba,
Ushuhuda wa Kazi ya Dkt Shein na mashineri ya CCM imejimarisha zaidi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita. Ni kipindi hiki ndipo Ndugu Polepole alifanya ziara Pemba exclusively kwa zaidi ya siku 45, ziara ya Dkt Bashiru na Mikakati ya ushindi ya Chama hakika zimezaa matunda. Ni katika kipindi hiki Wabunge na Wawakilishi kutoka Pemba walijiuzulu na kujiunga na CCM.

6: Mpasuko wa CUF / ACT / ADC
Kwa miaka 5 iliyopita, migogoro mikubwa imeikumba Kambi ya Upinzani, CUF ikapasuka, Maalim akahamia ACT Wazalendo.Mpasuko huo umeacha athari kubwa Pemba, CUF bado haijakata roho, ADC imeendelea kujiimarisha na ACT imjipenya Pemba, lakini ukweli ni kuwa Chama hiko hakina mizizi wala nguvu,Nguvu iko kwa Maalim mwenyewe sio ACT, ACT haina nguvu wala mashineri ya Ushindi.

7: Sifa binafsi za Mgombea,
Waswahili walisema, Wema hauozi na chanda chema huvikwa Pete.Maisha ya Dkt Mwinyi tangu wakati wote wa Uongozi wake yamekuwa ni ya kujishusha. Tabia njema imekuwa ndio SIFA KUU inayomtambulisha. Hana kashfa wala makandokando. Anakubalika na Vijana na anapendwa na Wazee na Watu wazima. Mapokezi ya jana yameakisi taswira ya mapenzi ya watu kwa Mgombea, hakuna Mgombea wa CCM aliwahi kupata mapokezi hayo tangu kuanza kwa vyama vingi, HATA Dkt Shein ambae amezaliwa Pemba na kuwa na ndugu huko HAKUWAHI kupata mapokezi hayo.

NYOTA NJEMA HUONEKANA ASUBUHI NA TAKWIMU HAZIDANGANYI KUWA DKT MWINYI NI RAIS WA MIOYO YA WAZANZIBAR.

Ni wazi na ukweli usio na shaka yeyote kuwa kura za Dkt Mwinyi Pemba ni zaidi ya 90,000 Mwaka huu.

#YanayoNineemaTupu.
#Ushindiwamapema
#Mwinyi2020✅
View attachment 1572087
Hii ndio Pemba ninayeijua mimi
Hakika Wapemba wameelimika kutoka katika Ujinga na kuanza kujitambua na naamini mwaka huu Neema inaenda kuwazunguka maana Dkt Mwinyi atawaletea maendeleo mpka wenyewewashangae
 
Mlinzi wa kura ni tume ya taifa ya uchaguzi nakushangaa unavyonambia kuwa wamejiapiza kulinda kura hao ni tume???? Au unazungumza ili na wewe uonekane kuwa unajibu comments
Tume ingekua ndo inalinda kura magufuli angekua amelala chato anasubiri tar 28
 
Hakika kwa umati uliojitokeza Pemba ilikua ni bonge la surprise, ckuamini kama watu wangejitokeza kiasi kile,
Hii inaonesha waz ni jinsi gan Mwinyi amekubalika.🤝🤝
Wale wamesafirishwa mzee, ikiwa unguja watu waliambiwa watoke maofisi kumpekea huyo jamaa yenu vipi pemba?
 
Mwinyi ni Chaguo sahihi kwa wazanzibari, msifanye makosa kutomchagua.
 
Back
Top Bottom