vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,232
Hao ni vijana wamesafirishwa kutoka Unguja na Tanganyika kwenda kufuta aibu. Pemba hata ukaeka jiwe na mgombea wa CCM kwa hakika tutalipigia kura jiwe hatuwezi kabisa kupigia kura CCM wametuuwa hao jamaa hatutosahau maisha yetu.
Husein mwinyi anasubiri huruma ya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi ila mara hii hatutaki ukhanithi ataliwa mtu kichwa. Husein asubiri nafasi ya makamo wa kwanza wa Raisi hawezi arudi kwao Mkuranga.
Husein mwinyi anasubiri huruma ya usalama wa taifa na tume ya uchaguzi ila mara hii hatutaki ukhanithi ataliwa mtu kichwa. Husein asubiri nafasi ya makamo wa kwanza wa Raisi hawezi arudi kwao Mkuranga.