King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Lipumba Ashukuru Sana Tanzania Tunapendana Hatuna Roho Za Visasi kama Baadhi ya Nchi nyingine,Angekuwa Kama Burundi au Somalia analeta kama Hizi mda Mrefu Kichwa chake kingeokotwa Mtaroni.
Au wewe ni Chadema? Lipumba hajaisema CCM kuwa ni chama kinachotaka kuvuruga CUF, Ameweka wazi kuwa CHADEMA ndiyo inayotaka kuiua cuf ili vibaki vyama viwili CCM na CDM. Sasa wewe unapokuja na hoja ya kuishambulia CCM wakati mjadala ni juu ya CDM , je tukueleweje?hii cuf imeshakufa kabisa kwasababu ya kupokea order za pale ikulu,, juzi nimemuona huyo prof akiwa hapa magogoni ila sikujua kama walikuja kujadiliana swala hili
Au wewe ni Chadema? Lipumba hajaisema CCM kuwa ni chama kinachotaka kuvuruga CUF, Ameweka wazi kuwa CHADEMA ndiyo inayotaka kuiua cuf ili vibaki vyama viwili CCM na CDM. Sasa wewe unapokuja na hoja ya kuishambulia CCM wakati mjadala ni juu ya CDM , je tukueleweje?
Nia ya Lipumba ni kuiua CUF ndio kazi aliyotumwa kufanya. Why is it becoming difficult for you to see the obvious.Yanayoikuimba CUF kwa sasa sio bahati mbaya,a long time action plan is being implemented.Hivi huyu Profesa hata kama hawezi kuona hatima yake ya miaka walau mitano ijayo, anashindwa kuona hata ya juma moja!?
Ndio maana naona kama mfano wewe umetumwa kuniua mimi alafu unanisubiri gulioni na panga badala ya kuniwekea japo sumu kwenye chai, ujinga uliokithiri!Nia ya Lipumba ni kuiua CUF ndio kazi aliyotumwa kufanya. Why is it becoming difficult for you to see the obvious.Yanayoikuimba CUF kwa sasa sio bahati mbaya,a long time action plan is being implemented.
Yupo na alifungua chama kipya cha siasa chaustaHivi huyo jamaa yupo? He wrote a book when he was in house arrest some years ago may be 78-80 candid to my country. Ulishasoma hicho kitabu?
SIKU za Pumbaz zinahesabikaLipumba anachezea sharubu za Simba. Wish him luck. Hapa lazima kuwe na mrejesho nyuma nao utakuwa wa kishindò kikuu.
Siku ikifika utawaona kimbelembele kubeba sanduku lakeNia ya Lipumba ni kuiua CUF ndio kazi aliyotumwa kufanya. Why is it becoming difficult for you to see the obvious.Yanayoikuimba CUF kwa sasa sio bahati mbaya,a long time action plan is being implemented.