maajabu ya wanahali ya hewa wa Tanzania

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
3,504
1,341
eti kuna kimbunga kinaitwa anais kimetokea huko bahari ya hindi. Kwa hiyo kimepindisha mvua ambayo walitabiri kuwa itakuja oktoba... Hahahahha
Mwingira upo??
 
Kwa hiyo kimbunga hawakukiona kwenye darubini yao? Inasikitisha sana, wakitabiri haitokei wasipotabiri kitu balaa! Poor TMA au wanatumia waganga wa jadi nini?
 
Kwani Tz kuna jambo ambalo lafanyika kwa uhakika! Tz ni nchi ya ubabaisha kila kitu ni kuotea kama multiple choice in Mathematics!
 
aiseeeeeeeeeeeee babaangu wenzenu walikuwa wanamanisha oktoba ya mwakani nyinyi mnafikiri ya mwaka huu
 
Wameajiriwa kwa upendeleo either ni watoto wa magogo/vigogo na shuleni walifaulishwa na maprofesor wa chupi hawana lolote zaidi ya kutabiri kwa kutumia masaburi.aibu kubwa
 
Huwa nikimsikiliza mama kijazi anavyojenga hoja kuelezea Yale waliyotabiri awali kuwa hayatatokea namuonea huruma sana, anatumia nguvu kubwa mama watu.
 
Darubini iliona Mvua kumbe ni kimbunga....yaaani wakiwa maabara hawa ndio wanasema Una Ukimwi kwa kua, baadae wanabadilisha wanakwambia No no huna UKIMWI.......
 
Kuna mchungaji alisema haitatokea ikitokea anaacha kuhubiri

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom