Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
We ushaambiwa kuna mkuu wa mkoa, mind you mkuu wa mkoa, Arusha huko, anakwepa kwenda kwenye mikutano kwa sababu hajui kiingereza.
Janga la kitaifa.
nakubaliana na wewe sisi wakati tunamaliza form six kuna mkuu wa mkoa alikuja kwenye graduation akaongea zaidi sa masaa matano. sasa ni akili hiyo?