Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
CCM ina herufi tatu, ina maneno matatu!
***** huu!
CCM ina herufi tatu, ina maneno matatu!
Hiyo wamechakachua, hizo herufi zingetakiwa kuwa na herufi tano (CCDNM) cuz ni Chama Cha Demokrasia Na Maendendeleo..
Itakuwa hivyo tu!Hahahahaaa hivi hata za akina dada nazo ni tatu?
Na kingine cha kuogofya kuhusu namba 3 ni hiki;
Je wajua ya kwamba,kama una ndugu yako yeyote aliyefariki ktk mazingira ya ushirikina ukimwita mara 3 huku ukipiga mashavu yake mara 3 ni lazima astuke?
Wana Jf, M-prove hili,then mniletee matokeo.
NASISITIZA,ENDAPO AMEFARIKI KWA NJIA YA USHIRIKINA,Na si vinginevyo!!!
Siku imegawanyika sehemu tatu. asbuhi, mchana, jioni.
Teh kwa hilo hata mi naona...yan walifupisha CHADEMA then tena neno CHADEMA wakalifupisha kuwa CDM dah wametoa viunganishi... lengo ni kupata 3Hiyo wamechakachua, hizo herufi zingetakiwa kuwa na herufi tano (CCDNM) cuz ni Chama Cha Demokrasia Na Maendendeleo..
Story zote ,including CCM story huwa na sehemu tatu beggining, middle and end.