Maajabu ya kufa na kuzaliwa

The cacophony of condescension, concomitant with a conspiratorial compliment completes a comedic cahoot of a callous conformity with a candor of cobblers.

Hahahaaa kiranga utatuua sasa. Haya iron lady lako hilo. kiranga hebu andika kwa kiswahili wote tuelewe pls.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
The cacophony of condescension, concomitant with a conspiratorial compliment completes a comedic cahoot of a callous conformity with a candor of cobblers.

maana ya lugha sio kuonesha ubabe wako wa lugha ila kuwasiliana, maana yake wewe uongee na ueleweke na mwenzako naye aongee na wewe uelewe.but if you feel comfortable communicating to yourself.well and good.
kwa hiyo hapo ulivyoandika hayo madude umeona raha na kufikiri umeonekana umefanya la maana na kuonekana umesoma sana kumbe u have not communicated at all.is it wise thing to do?
 
Hahahaaa kiranga utatuua sasa. Haya iron lady lako hilo. kiranga hebu andika kwa kiswahili wote tuelewe pls.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

kwa sisi tunaojua kanuni za lugha hajafanya lolote hapo kwa sababu hajawasiliana ameamua tu kutaka sifa. kanuni ya lugha ni kuwasiliana sio kuwasiliana mwenyewe. kiranga anatafutaga sifa sijui ni muha....................a.
tetteeeee haya bwana langu hilo nitalifanyia kazi
 
kwa sisi tunaojua kanuni za lugha hajafanya lolote hapo kwa sababu hajawasiliana ameamua tu kutaka sifa. kanuni ya lugha ni kuwasiliana sio kuwasiliana mwenyewe. kiranga anatafutaga sifa sijui ni muha....................a.
tetteeeee haya bwana langu hilo nitalifanyia kazi

Labda mimi na wewe ndo hatujamuelewa kama kuna aliyeelewa atudadavulie. Mi dictionary iko mbali. Dah kiranga hebu funguka. Iron lady unataka kusema ni "unigambire stupid infront of my wife?" Baba koku....!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
maana ya lugha sio kuonesha ubabe wako wa lugha ila kuwasiliana, maana yake wewe uongee na ueleweke na mwenzako naye aongee na wewe uelewe.but if you feel comfortable communicating to yourself.well and good.
kwa hiyo hapo ulivyoandika hayo madude umeona raha na kufikiri umeonekana umefanya la maana na kuonekana umesoma sana kumbe u have not communicated at all.is it wise thing to do?

Hata sijaanza kuonyesha ubabe, nime condescend condescension with eminent exactitude and elegant elucidation tu hapo.
 
kwa sisi tunaojua kanuni za lugha hajafanya lolote hapo kwa sababu hajawasiliana ameamua tu kutaka sifa. kanuni ya lugha ni kuwasiliana sio kuwasiliana mwenyewe. kiranga anatafutaga sifa sijui ni muha....................a.
tetteeeee haya bwana langu hilo nitalifanyia kazi

Kanuni niliyoifuata hapo ni kuwasiliana na wenye uwezo wa ku appreciate nilichoandika.

Obviously wewe huna uwezo.

Usiliseme chesi baya kwa kuwa tu hujui askofu anaendaje.
 
Labda mimi na wewe ndo hatujamuelewa kama kuna aliyeelewa atudadavulie. Mi dictionary iko mbali. Dah kiranga hebu funguka. Iron lady unataka kusema ni "unigambire stupid infront of my wife?" Baba koku....!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
anazo dalili zote za unigambire
 
Kanuni niliyoifuata hapo ni kuwasiliana na wenye uwezo wa ku appreciate nilichoandika.

Obviously wewe huna uwezo.

Usiliseme chesi baya kwa kuwa tu hujui askofu anaendaje.
lakini kumbuka ulikuwa unanijibu mimi.
anyway mbinu yako ya vita ni nzuri ila ni dhaifu kwa baadhi ya watu, kwangu mimi ni dhaifu.
 
Die z means
situation where by all metabolic(ana&catabolic) processes to be stopped.
And this result the living organismz can't be alive, can't breath etc.
 
Wadau nimejalibu kufuatilia na kufuatiliana masuala ya kufa na kuzaliwa

KUZALIWA
mana kwa takwimu mbalimbali inaonyesha watu wengi hujifungua hasa nyakati za usiku kuanzia mida ya kumi jioni na kuendelea mpaka saa nne asubuhi kwa mida ya mchana ni nadra sana

KUFA/KUKATA ROHO.KUAGA DUNIA
Watu walio wengi ambao husumbuliwa na maradhi mbalimbali nao huanza kufa kuanzia nyakati za jioni,usiku mpaka mida ya saa tano asubuh na kama itatokea kufa mchana ni wachache sana

Ivi hiyo mida inauhusiano gani na hayo matukio mawili mana watu hawazaliwi mchana na wala hawaagi dunia mida ya mchana?
Nb.hapo hatujazungumzia ajali

Mkuu EJ umefanya angalau ka reseach kadogo scientifically?ndipo uulize swala hili. Kama hujafanya nakushauri uende field kwanza. Kumbuka 'no research no right to speak'
 
Hii ndo shida ya watu wanafikili kwa masabuli yaani ww hata babako nafikili humjui na hata mamako atakua hakujui na ww humjui maana huyo unaemwita mamako alikuiba na hata mamako alikuzaa kwa bahati mbaya ndo maana akakutupa chooni mwana izaya mkubwa weeee....
matatizo ya kuvuta sigara bwegge.....
 
Mala nyingi mimba zinatungwa usiku so miezi tisa ya mimba huanzia pale wanaposhiriki tendo la ndoa,ili iwe miezi tisa kamili tunaweza kuhesabu masaa tangu kutungwa mimba mpaka kuzaliwa.

Jamani naomba tutofautishe kati ya kufanya tendo la ndoa/ngono dhidi ya kutunga mimba/kurutubisha yai la mwanamke! Kwa taarifa yako mkuu unaweza kufanya tendo la ngono/ndoa Leo usiku mimba ikatungwa kesho asubuhi, mchana, jioni, usiku ama kesho kutwa alfajiri! Google more on reproduaction utaona ni masaa mangapi sperm ama mayai yanavyoweza kukaa mda mrefu bila kurutubishwa hadi kufa(endapo hayatarutubisha/rutubishwa!)
Kwa sababu hii sikubaliani na wewe Kuwa mimba inatungwa usiku labda useme tu kwamba tendo la ngono/ndoa Mara nyingi hufanywa usiku!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kufa kwa maradhi kunatafsiriwa kuwa ni kukata tamaa ya kuishi. Mtu afaye kwa maradhi huweza kuona stage moja hadi nyingine ya uhai kumuondoka kisha hukata tamaa naye hukata pumzi, moyo husimama kufanya kazi.
 
‎
556354_281415048628024_1403844528_n.jpg



1,Kifo ni nini?

2,nini kinatokea baada ya kifo?
3,Ipo siku binadamu atashinda kifo?
*Haya ni maswali ambayo yanasumbua akili ya binadamu mwenye akili timamu*.​


>Picha hii ni moja ya picha zilizotengenezwa na binadamu zikionyesha jinsi binadamu anavochukulia kifo.Picha hii inaeleza jinsi kifo kilivyo kibaya na cha kutisha.

>Kwa sasa dunia ina watu zaidi ya bilioni saba(7) lakini watu walio katika makaburi au walio kufa ni zaidi mara nyingi kuliko bilioni 7 walio hai leo.

>Katika nyakati zote za uwepo wa binadamu duniani pamoja na kufanya maendeleo makubwa duniani,mfano;Kijamii,Kiuchumi,Kitamaduni,Kiroho na hasa sayansi na tekinologia bado binadamu hajaweza kupata mbinu za kushinda kifo.

>Binadamu tunakufa kwa sababu tofauti, mojawapo ni kama vile;Magonjwa,Ajali,Majanga hasa yale yanayosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini kubwa zaidi ni kitendo cha binadamu mwenyewe *kukubali kufa*

>Tunakubali kufa kivipi? na kuna kosa lolote? jibu ni NDIYO.
Kosa moja wapo kati ya mengi ni
*kitendo cha binadamu kuamini kuwa atakufa,wote tukubaliane bila ubishi kuwa mratibu wa matendo ya mwili wa binadamu ni UBONGO.Hivyo basi kitendo cha ubongo kukubali kufa maana yake ni sawa na kwenda kucheza mechi huku matokeo unayajuwa.

>Mimi naamini binadamu akijifunza njia sahihi za kushinda kifo na kukiepuka anaweza kuishi milele.Ushahidi wa kisayansi na hata ule wa kiroho unaonyesha hivyo.Njia moja kati ya hizo;
*Watu wakatae mafundisho yote yanayohubili ushindi wa kifo*

>Maneno kama;Mungu ndie anajua,kazi ya Mungu haina makosa yanaonyesha udhaifu na kukata tamaa.Ndugu zangu hata Mungu hapendi watu dhaifu anataka watu wanaojiamini na kujitoa kwa ajiri ya wengine kama yeye afanyavyo, yeye si dhaifu na kwake wadhaifu hawataingia kamwe.

>Tulio hai tusikubali kufa,tukikatae kifo na tupambane nacho kwa njia zake zote na tukubali kuwa ipo siku tunaweza kuishi hata milele bila kufa
 
Back
Top Bottom