Mkuu NasDaz,
Nisome vizuri na kwa umakini.
TUMBIRI wa JF
Atakayepinga hili akapimwe akili.
Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim alielekea wapi?
Nitatoa mifano ya kaskazini menginemtatafuta wenyewe.
1.duniani maendeleo yalianzia kaskazini.
2.afrika maendeleo yalianzia kaskazini.
3.tanzania maendeleo yalianzia kaskazini.
4.mkoa wangu maendeleo yalianzia kaskazini
5.wilaya yangu maendeleo ya lianzia kaslkazini.
6.kijiji changu maendeleo yalianzia kaskazini.
7.ofisi ya bosi wangu ipo kaskazini.
8.nyumbani kwangu chumba changu kipo kaskazini.
naomba hapo ulipo fuatilia wewe upo wapi?na maendeleo yako yanatokea wapi?
Atakayepinga hili akapimwe akili.
Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim alielekea wapi?
Nitatoa mifano ya kaskazini menginemtatafuta wenyewe.
1.duniani maendeleo yalianzia kaskazini.
2.afrika maendeleo yalianzia kaskazini.
3.tanzania maendeleo yalianzia kaskazini.
4.mkoa wangu maendeleo yalianzia kaskazini
5.wilaya yangu maendeleo ya lianzia kaslkazini.
6.kijiji changu maendeleo yalianzia kaskazini.
7.ofisi ya bosi wangu ipo kaskazini.
8.nyumbani kwangu chumba changu kipo kaskazini.
naomba hapo ulipo fuatilia wewe upo wapi?na maendeleo yako yanatokea wapi?
Ni sawa lakini pia kuna upande wa pili............
Ushoga umeanzia kaskazini......Wizi umeanzia kaskazini...........Watumwa walipelekwa kaskazini........Ubaguzi ulifanywa/unafanywa na watu wa kaskazini................Biashara ya ngono imeanzia kaskazini.............Vita ya dunia imeanzia kaskazini...............N.K
Nipo UK, malkia anatoka kusini, mji mkuu London uko kusini, maendeleo ya nchi yako zaidi kusini ..... LOL!!!!!
Atakayepinga hili akapimwe akili.
Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim alielekea wapi?
Nitatoa mifano ya kaskazini menginemtatafuta wenyewe.
1.duniani maendeleo yalianzia kaskazini.
2.afrika maendeleo yalianzia kaskazini.
3.tanzania maendeleo yalianzia kaskazini.
4.mkoa wangu maendeleo yalianzia kaskazini
5.wilaya yangu maendeleo ya lianzia kaslkazini.
6.kijiji changu maendeleo yalianzia kaskazini.
7.ofisi ya bosi wangu ipo kaskazini.
8.nyumbani kwangu chumba changu kipo kaskazini.
naomba hapo ulipo fuatilia wewe upo wapi?na maendeleo yako yanatokea wapi?
Atakayepinga hili akapimwe akili.
Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim alielekea wapi?
Nitatoa mifano ya kaskazini menginemtatafuta wenyewe.
1.duniani maendeleo yalianzia kaskazini.
2.afrika maendeleo yalianzia kaskazini.
3.tanzania maendeleo yalianzia kaskazini.
4.mkoa wangu maendeleo yalianzia kaskazini
5.wilaya yangu maendeleo ya lianzia kaslkazini.
6.kijiji changu maendeleo yalianzia kaskazini.
7.ofisi ya bosi wangu ipo kaskazini.
8.nyumbani kwangu chumba changu kipo kaskazini.
naomba hapo ulipo fuatilia wewe upo wapi?na maendeleo yako yanatokea wapi?
Hata wewe Ustadhi unafuga mbwa kweli alsasunn imeingiliwa. kazi ya kuzamia pilau za hitma umeacha?Banda la Mbwa wangu nyumbani kwangu lipo kaskazini.
UNAWEZA KUFIKIRI ZAIDI KULIKO HAPO. Maana ukiwa point A unaweza kuwa kaskazini ya point B lakini kusini ya point C mashariki ya point D au magharibi ya.... ikiwa ni kuanglia North Pole unamaanisha the farther you move from north the poorer you become au? Afrika kusini na Tanzani Je? haya bara la Australia na Afganistan. marekani na Canada, ujerumani na Norway n.k Hakuna wa kupinga ila wewe unaweza kupima zaidi kisha utagundua kitu fulani usiweke kwannza maambo ya imani. subjectivity must be avoidedAtakayepinga hili akapimwe akili.
Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim alielekea wapi?
Nitatoa mifano ya kaskazini menginemtatafuta wenyewe.
1.duniani maendeleo yalianzia kaskazini.
2.afrika maendeleo yalianzia kaskazini.
3.tanzania maendeleo yalianzia kaskazini.
4.mkoa wangu maendeleo yalianzia kaskazini
5.wilaya yangu maendeleo ya lianzia kaslkazini.
6.kijiji changu maendeleo yalianzia kaskazini.
7.ofisi ya bosi wangu ipo kaskazini.
8.nyumbani kwangu chumba changu kipo kaskazini.
naomba hapo ulipo fuatilia wewe upo wapi?na maendeleo yako yanatokea wapi?