Maajabu ya Kampala International University

Cha ajabu sio huo utani (joke) bali kuna watu wanaamini hii ni authentic...

Hivi kuna mtihani ambao hauna jibu lisilo sahihi (utapenda kufanya kazi gani ukimaliza) au kwenye mtihani wa IT upewe swali na Geography what is a map..

Nadhani hayo yangekufahamisha kwamba hii ni Joke na ungecheka na kuachana nayo..

Mods nadhani hii inafaa jukwaa la Jokes
 
Mimi huwa napendekeza bora tungekuwa na vyuo vichache tena vyote viwe vya serikali lakini viongezewe ubora na uwezo wa kudahili hata wanafunzi laki mbili kuliko kuruhusu hivi vyuo vya kichovu vinavyozuka kila kukicha!! Jana nimeona chuo kingine kinatangaza nafasi za kazi sijui kinaitwaje vilee!! Haya bhana ngoja tupelekwepelekwe tu!
 
Hii niliiona kwenye Facebook. Nadhani ni watu wametengeneza.
Sidhani kama mwanafunzi wa mwaka wa tatu tena kozi ya computer science anaweza kupewa mtihani huo

Hata chekechea au mtaani huwezi ukapewa maswali ya computer science ambayo baadhi sio computer science bali ni geography au lugha..
 
small and big computer halafu mtu anapewa 8/10 mmmmh! Halafu majibu yako shallow mtu anakula 34/40 nadhani hata sinnon college wanaweza wakawa juu sana...

Mimi huwa napendekeza bora tungekuwa na vyuo vichache tena vyote viwe vya serikali lakini viongezewe ubora na uwezo wa kudahili hata wanafunzi laki mbili kuliko kuruhusu hivi vyuo vya kichovu vinavyozuka kila kukicha!! Jana nimeona chuo kingine kinatangaza nafasi za kazi sijui kinaitwaje vilee!! Haya bhana ngoja tupelekwepelekwe tu!

Wakuu hivi kweli mmeamini hii ni kweli ?, Hata swali la what is a map ? kwenye computer science halikuwashtua kwamba huu ni utani ?
 
acha kuchafua vyuo wewe kweli inamake sense ujinga huu ufanyike chuo nakataaa kabisa asilimia 10
 
hiyo pepa mwisho wa matatizo.yaani balaaaa tupu hapa mbavu zangu ziko hoi kwa kicheko.hizo types za computer jamaa kachora kabisa kwa msisitizo!!!!
 
yani mwanafunzi wa ICT mwaka wa 3 ndo anaulizwa maswali ya darasa la 3!! Haya kweli majanga!! Hv TCU wanazingatia ubora wa elimu unaotolewa vyuoni kweli?? au ndo kuthibitisha vyuo kama KIU ni kituo cha vilaza kwahyo na waalimu hujali uwezo wa wanafunzi wao??
 
aha ha ha ha ha ha..tuwe serious kidogo basi. Hii ni kweli mkuu?
 
CCM wanapigania kupata takwimu za kutosha kuwaeleza wananchi idadi ya vyuo nchini!!

TCU mimi naijua vizuri,itaua elimu nchini kwa rushwa!
 
46708_577183662311663_1397882358_n.jpg

Ndiyo yanayomuuza Mbatia hayo!
 
Hiki chuo cha kijinga sana ndo maana wanafunzi wanapata muda wa kuoana ovyo maana nothing to keep them busy.
 
Hata siamini! Ili kujiaminisha, naomba Course Outline na Waalimu walichofundisha. Tuache utani jamani. Tunahitaji kujadili mambo ya msingi.
 
Back
Top Bottom