koplo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 574
- 152
Habari za leo wana JF,Naulìza kama muajiriwa wa halmashauri amejiendeleza katika fani ambayo ni tofauti na aliyo ajiriwa nayo. lakini hiyo fani mpya haina idara katika halmashauri husika.je kunauwezekano wa kuamia WIZARANI TAMISEMI
kama ndio naomba utaratibu
thanx
kama ndio naomba utaratibu
thanx