vimon
Senior Member
- Apr 3, 2008
- 183
- 195
Kutokana Taarifa zilizonifikia punde wakati nikipita katika hospitali zetu za rufaa na Kuongea na baadhi ya Madakatari kuna mpango ambao serikali ikiutekeleza itakuwa kwenye wakati mbaya na inawezekana ikamfanya mkuu wa nchi atishi uchaguzi wa uraisi mapema kabla ya 2015.
Mambo haya ni yafuatayo:-
1. Kuwafukuza madaktari wote na kuwaambia wa apply upya
2. Kuwaleta flying doctors (Naomba tusiulize mambo ya malipo kwao, maana it is only spinal cord working by now)
3. Residents kufutiwa udhamini
4. Kuleta madaktari wa kichina au kutoka nje
Mambo yatakayotokea
1. Mgomo utasambaa nchi nzima na utawahushisha kada zote mpaka manesi,utajuumuisha dispensary,hospitali za wilaya na hii itakuwa ni kuparalyse mfumo mzima wa afya Tanzania
2.Hawata apply kazi upya na wameapa kuwa wammoja mpaka mwisho wa mgomo kwa hiyo serikali itakuwa imepoteza na huu wamesema itakuwa ndio ticket ya kuondoka kwa baadhi ya madaktari.
3. Hii ya kufuta udhamini itawaumiza wananchi na taifa kwani Tanzania ni ya mwisho duniani kwa ratio ya doctor to patient na kufikia malengo ya WHO ya patient to doctor ratio ya 1:7,500
The doctor : patient ratio in Tanzania is 1 : 26,000, Uganda's rate is 1 : 8,000 and Zambia's is 1: 11,000 Source WHO
4. Mfumo wa flying doctors ni wa ghali za kuendesha na unaendeshwa na AMREF,unatumia wataalamu kutoka nchi husikana jirani sasa mara nyingi wanasaidia na na wataalamu wa ndani kuandaa vifaa na mambo mengine hapa naona serikali yetu ina maana imepata pesa wapi ya mipango ya dharura.
5. Iwapo manesi na kada nyingine ambao wanaonekana hawajagoma lakini wanajuwa madaktari wakifanikiw na wao wamefanikiwa hawatakubali kufanya kazi na hao watakaoletwa (HAPA NI HATARI)
6. Iwapo ikatokea baada ya huu mgomo tukawa tumewapoteza madaktari wetu kwa mfano wengine wkiamua kuachana kazi ya kutibu wakaenda kweny NGOs,hospitali za private,research,siasa,private sector au hata wakaenda nje ya nchi hapa atayeumia si mwananchi wa chini. Gharama ya kumsomesha daktari mmoja si chini ya milioni 42 serikali yetu ipo tayari kupoteza kiasi hichi cha pesa?
Kama hospitali zetu hazina mashine za kisas nyingi ni mbovu,miaka ya hamsini ya uhuru hospitali ya taifa inaweza kuishiwa hata na gloves lakini hawataki kuambiwa ukweli wao wanasingizia kila kitu ni siasa/udini na mambo ambayo haya msingi.
Kama kweli madaktari wanalipwa vizuri kila sector iweke mishahara na marupuru yake hadharani tuone kama nchi itatawalika kama migomo haitatawala kila kona tuanze na mishahara TRA, BOT, TANAPA, BUNGE Alafu tulinganishe na ya madaktari, waalimu, wanajeshi, manesi, Engeneers, lawyers etc alafu kama haipo sawa tuweke sawa ili tuache kutafuta mchawi kila mtu aridhike na professional yake na sio kulalamika kila kukicha.
Nawaunga mkono madaktari naamini mwisho wa siku ukweli utajulikana.
Mungu ibariki Tanzania!
Updates za Mgomo kupatika mchana fuatilia hapa..
Mambo haya ni yafuatayo:-
1. Kuwafukuza madaktari wote na kuwaambia wa apply upya
2. Kuwaleta flying doctors (Naomba tusiulize mambo ya malipo kwao, maana it is only spinal cord working by now)
3. Residents kufutiwa udhamini
4. Kuleta madaktari wa kichina au kutoka nje
Mambo yatakayotokea
1. Mgomo utasambaa nchi nzima na utawahushisha kada zote mpaka manesi,utajuumuisha dispensary,hospitali za wilaya na hii itakuwa ni kuparalyse mfumo mzima wa afya Tanzania
2.Hawata apply kazi upya na wameapa kuwa wammoja mpaka mwisho wa mgomo kwa hiyo serikali itakuwa imepoteza na huu wamesema itakuwa ndio ticket ya kuondoka kwa baadhi ya madaktari.
3. Hii ya kufuta udhamini itawaumiza wananchi na taifa kwani Tanzania ni ya mwisho duniani kwa ratio ya doctor to patient na kufikia malengo ya WHO ya patient to doctor ratio ya 1:7,500
The doctor : patient ratio in Tanzania is 1 : 26,000, Uganda's rate is 1 : 8,000 and Zambia's is 1: 11,000 Source WHO
4. Mfumo wa flying doctors ni wa ghali za kuendesha na unaendeshwa na AMREF,unatumia wataalamu kutoka nchi husikana jirani sasa mara nyingi wanasaidia na na wataalamu wa ndani kuandaa vifaa na mambo mengine hapa naona serikali yetu ina maana imepata pesa wapi ya mipango ya dharura.
5. Iwapo manesi na kada nyingine ambao wanaonekana hawajagoma lakini wanajuwa madaktari wakifanikiw na wao wamefanikiwa hawatakubali kufanya kazi na hao watakaoletwa (HAPA NI HATARI)
6. Iwapo ikatokea baada ya huu mgomo tukawa tumewapoteza madaktari wetu kwa mfano wengine wkiamua kuachana kazi ya kutibu wakaenda kweny NGOs,hospitali za private,research,siasa,private sector au hata wakaenda nje ya nchi hapa atayeumia si mwananchi wa chini. Gharama ya kumsomesha daktari mmoja si chini ya milioni 42 serikali yetu ipo tayari kupoteza kiasi hichi cha pesa?
Kama hospitali zetu hazina mashine za kisas nyingi ni mbovu,miaka ya hamsini ya uhuru hospitali ya taifa inaweza kuishiwa hata na gloves lakini hawataki kuambiwa ukweli wao wanasingizia kila kitu ni siasa/udini na mambo ambayo haya msingi.
Kama kweli madaktari wanalipwa vizuri kila sector iweke mishahara na marupuru yake hadharani tuone kama nchi itatawalika kama migomo haitatawala kila kona tuanze na mishahara TRA, BOT, TANAPA, BUNGE Alafu tulinganishe na ya madaktari, waalimu, wanajeshi, manesi, Engeneers, lawyers etc alafu kama haipo sawa tuweke sawa ili tuache kutafuta mchawi kila mtu aridhike na professional yake na sio kulalamika kila kukicha.
Nawaunga mkono madaktari naamini mwisho wa siku ukweli utajulikana.
Mungu ibariki Tanzania!
Updates za Mgomo kupatika mchana fuatilia hapa..