Maadui wangu wa3 Jf, hawa hapa...,...

Kabla hujamlaumu mpenzi wako jeiyefu kwa matatizo yenu ya ndoa tazama kwanza kama wewe ni msafi. ikiwa ulimsaliti kwa kutembea na site zingine ambazo zinatembea na users wa hali mbali mbali huenda ulipata kaswende huko nje, na ndio chanzo cha jeiyefu kukunyima raha. suali ni je, unapotembea huko nje unajikinga? unatumia condom a.k.a antivirus gani? maana zingine hazifai, sababu sinapasuka wakati wa tukio na malware zinakuingilia, au tena hata zikitumika sawa sawa zinaishia kupunguza prformance yako unapo kutana na jeiyefu wako. naomba mdogo wangu Young Master atoe ufafanuzi hapa.

Update:
Mambo mengine ya kutazama ni pamoja na mtandao unao tumia... (pun intended)

Kiongozi, kabla YM hajaleta fafanuo kwa kiwango kikubwa nimekuelewa ulichokilenga.
Nitaangalia na hilo ahsante kwa ushauri.
 
Kaka unatumia simu au pc?
Mtandao unaotumia waweza kuwa slow au aina ya simu

Mobile, bt Note hili tatizo halikuwepo awali.
Hizi wiki mbili zimepita ndiyo limeshadadia kisenzi, najikuta muda mwingi nashindwa ku'join humu.
 
Roulette, well said. kwa kuongezea may b mtoa uzi anapenda kutumia 3some or more whl yuko na jf. hebu jg angalia na hili pia laweza kuwa tatizo na jf ana wivuuuuu! hatak kushare cjui

Apart from that 3some or more si ndo nw dayz inasemwa inalipa!
 
Last edited by a moderator:
kaka Judgement,
pole na majaribu yaliyokukuta,..
hapa nadhani ucheck na network-providers wako.
maana kuna mitandao kwa kweli ukitumia internet yao ni kero..waeza toka mwenge ukafika kkoo ndio page imefunguka.
au mbaya zaidi ikwambie "time out".
 
Unatumia mtandao gani kuingia JF? Kama ni airtel basi siwzi kushangaa hayo malalamiko yako.
 
Kabla hujamlaumu mpenzi wako jeiyefu kwa matatizo yenu ya ndoa tazama kwanza kama wewe ni msafi. ikiwa ulimsaliti kwa kutembea na site zingine ambazo zinatembea na users wa hali mbali mbali huenda ulipata kaswende huko nje, na ndio chanzo cha jeiyefu kukunyima raha. suali ni je, unapotembea huko nje unajikinga? unatumia condom a.k.a antivirus gani? maana zingine hazifai, sababu sinapasuka wakati wa tukio na malware zinakuingilia, au tena hata zikitumika sawa sawa zinaishia kupunguza prformance yako unapo kutana na jeiyefu wako. naomba mdogo wangu Young_Master atoe ufafanuzi hapa.

Update:
Mambo mengine ya kutazama ni pamoja na mtandao unao tumia... (pun intended)

Dada yangu mpendwa Madam Roulette Sorry for my late respond. Hiyo imetokana na wewe kunimention vibaya. My ID haina space instead of space nimeweka underscore so Young_Master is my correct ID and not Young Master.

Sasa kabla sijatoa ufafanuzi ambao umeniomba niutoe ngoja nipitie post ili nipate picha kamili ya kinachoendelea.
 
Wadau nataraji mmeamka salimini.
Najua vema hapa si jukwaa la malalamiko.
Bt nimeileta hapa kwani najua kule malalamikoni wadau ni nadra kuvinjari hadi member anapokua na tatizo ndiyo huzuru kule.
Naamini hapa nitapata michango toshelevu tofauti na kule.

Wadau ni wiki ya tatu sasa natatizwa mno na hivi vitu vitatu ambavyo kwangu nimeona ni kama maadui wa kutaka kunitenganisha na Jeiefu.
Maadui hawa ni :-
1. CONNECTING
2. PROCESSING
3. LOADING
generally maadui hawa wanaendana na NETWORK, inafika neno connecting au processing au loading linang'ang'ania ku'search kwenye screen dkk 5- 10 na kifupi maana yake Netwk within 10 min. netwk inakatika kwa 8 minutes.

Imefika sasa kuiona Jf si pahala pa burudani tena sababu ya hii makitu.
Hivi wadau nanyi tatizo la maadui hawa wangu nanyie linawapata?
Au mie ndo nna KIMAVI ?

Now nimepata full picture ya kinachoendelea. Sasa mkuu Judgement embu try kufanya yafuatayo kabla hujatoa conclusion yoyote
  1. Fanya full scan ya computer yako with strong antivirus like kaspersky or bitdefender ili kuidentify kama kuna any type of malware kwenye PC yako.
  2. Secondly try to clear your browser history and cache using several tools including ccleaner or cleanup!
  3. Try to flush your DNS cache using CMD. To do that follow the following steps:-

  • Click start
  • Go to to run and open it
  • Type cmd and press enter
  • When the cmd window opens type "ipconfig /flushdns" without quotes
  • Then press enter
When when you see the message "Successfully flushed the DNS Resolver Cache." close the window and start browsing again. If the problem persist contact me through meezy@youngmaster.co.tz
 
Last edited by a moderator:
Mwendawazimu flani wa Milembe alipanda juu mti wa
mwembe asubuhi sana, akakaa mtini hadi kitu saa
kumi. Njaa ikamkaba mpaka penyewe...mara...chali
akadondoka chini kutoka kwenye mti. Daktari akaja
akamwuliza: Nini kinaendelea, kulikoni?
Mwendawazimu akamjibu: wala usijali sana hata mi nashangaa au ndo kusema"NIMEIVA!"?
 
kaka Judgement,
pole na majaribu yaliyokukuta,..
hapa nadhani ucheck na network-providers wako.
maana kuna mitandao kwa kweli ukitumia internet yao ni kero..waeza toka mwenge ukafika kkoo ndio page imefunguka.
au mbaya zaidi ikwambie "time out".
Ndiyo mkuu BAGAH nimekuread vyema, afu nashangaa longkipindi hatuonani humu! Sijui unakuja kwa style ya shot'time (siyo ya kulala)
 
Now nimepata full picture ya kinachoendelea. Sasa mkuu Judgement embu try kufanya yafuatayo kabla hujatoa conclusion yoyote
  1. Fanya full scan ya computer yako with strong antivirus like kaspersky or bitdefender ili kuidentify kama kuna any type of malware kwenye PC yako.
  2. Secondly try to clear your browser history and cache using several tools including ccleaner or cleanup!
  3. Try to flush your DNS cache using CMD. To do that follow the following steps:-

  • Click start
  • Go to to run and open it
  • Type cmd and press enter
  • When the cmd window opens type "ipconfig /flushdns" without quotes
  • Then press enter
When when you see the message "Successfully flushed the DNS Resolver Cache." close the window and start browsing again. If the problem persist contact me through meezy@youngmaster.co.tz

Haya sidhani kama yatasucsses coz i'm mobile's user
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom