jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Wanajamvi, nimesikia matangazo ule mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na KUB ambaye pia ni mwenyekiti wa chadema Kamanda wa anga Mh. Freeman A. Mbowe MB. katibu mkuu Dr. Wilbrod P. Slaa, Cheaf whip wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Tundu Lissu MB.
Kipenzi cha vijana wa tanzania Godbless Lema, pamoja na timu nzima ya makamanda kwenye msafara wa okoa kusini katika movement for positive change kusini mwa tanzania.
Hamasa ya wananchi iko juu sana kwani nao wanapenda kuwa sehemu ya ukombozi, wana hamu ya kuwakomboa ndugu zao wa Singida, Dodoma na Morogoro. nawaahidi kuwapa live coverage kutoka eneo la tukio.
Kipenzi cha vijana wa tanzania Godbless Lema, pamoja na timu nzima ya makamanda kwenye msafara wa okoa kusini katika movement for positive change kusini mwa tanzania.
Hamasa ya wananchi iko juu sana kwani nao wanapenda kuwa sehemu ya ukombozi, wana hamu ya kuwakomboa ndugu zao wa Singida, Dodoma na Morogoro. nawaahidi kuwapa live coverage kutoka eneo la tukio.