Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
nilikuwa nashangazwa na sasa nashangazwa zaidi kwa chadema kutowalipa angalau hata posho viongozi wa mikoa na wilaya japokuwa chama kinapata ruzuku kutoka serikalini, michango kutoka vyama rafiki kama cdu na michango ya wananchi, na cha ajabu zaidi akaunti zote za chama ziko tupu. sasa hivi wanataka kutumia chopa 4 kwenye kampen za m4c ambazo zi kampuni ya mzee ndesamburo, hizo pesa za kulipa zinatoka wapi kama viongozi hawalipwi??