Makamanda msiache kupita majimbo yafuatayo...nna uhakika 2015 tunayachukua bila shida
1.Tarime
2.Bunda
3.Rorya(mbunge wa sasa keshanukuliwa akisema hatogombea tena)
4.Serengeti
5.Musoma vijijini(Hapa wagombea wa upinzani huwa wanalainishwa na pesa then wanajitoa na mh anapita bila kupingwa)
6.Mwibara
Kifupi natabiri mkoa wa mara wote kuongozwa na CDM 2015,Nipo huku na dalili zote naziona.....
Chadema bunge limeisha sasa,,majembe yetu mlioko bungeni tunawategemea kujiunga na jeshi la m4c...2015 tunayahitaji majimo yanayoongozwa na:
1.kayanza Pinda
2.Lukuvi.
3Wasira
4.Anne Makinda
5.Lusinde
6.Nchemba
7.na mengine mengi
napendekeza zile pickup zikaanze kufanya kazi huko
Ole sendeka nimesahau
endeleeni kudanganyana
Chadema bunge limeisha sasa,,majembe yetu mlioko bungeni tunawategemea kujiunga na jeshi la m4c...2015 tunayahitaji majimo yanayoongozwa na:
1.kayanza Pinda
2.Lukuvi.
3Wasira
4.Anne Makinda
5.Lusinde
6.Nchemba
7.na mengine mengi
napendekeza zile pickup zikaanze kufanya kazi huko
Ah! Hii ilinipita.kwa pinda tayari kaka, alienda heche na katibu wake deo,, na walishinda wenyevt 6 wa vjj bila pinda kupata k2, na kwa makinda tayar
moshi rural msije sahau