Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
jambo la msingi watu waikuli hoja ya mabadiliko kwanza idadi ya wanao chukua kadi si issue kihivyooooMkuu ,
Mimi binafsi nilikuwepo kwenye huo mkutano watu ni wachache muamko bado upo chini na jitihada za haraka zinahitajika ili kuwang`oa magamba hapa Masasi ila waliokuwepo walionesha kuunga mkono M4C na wamenunua kadi wapatao wanachama 20