gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Mi napenda kwa kununua umeme,kulipa bili,na kusaidia panapobidi ndugu,jamaa,na marafiki....
Wanafunzi wa yuo na sponsors kulipa fees za aina mbalimbali..
Ila na makampuni ya usafirishaji nayo,ndege,meli/boti,mabasi ya mikoani.. Isiwe lazima kwenda ofisini kufanya booking..
Wanafunzi wa yuo na sponsors kulipa fees za aina mbalimbali..
Ila na makampuni ya usafirishaji nayo,ndege,meli/boti,mabasi ya mikoani.. Isiwe lazima kwenda ofisini kufanya booking..