Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,977
- 95,327
KAMANDA...ina maana simu yako haisupport picha..? Mbona sisi wengine tuliona picha akiwa yupo na Mzee Ndesapesa..? Au nikutumie hapa..?
Kwani lazima simu? Vipi kompyuta inakupiga chenga nini?
KAMANDA...ina maana simu yako haisupport picha..? Mbona sisi wengine tuliona picha akiwa yupo na Mzee Ndesapesa..? Au nikutumie hapa..?
Nini maana ya Uzalendo..?
Kwa hiyo alifuata pesa? Namsikitia sana, naisikitikia CCM pia kulea viongozi wenye uchu wa fedha kiasi hiki (wanaohongeka kirahi)!
Mtalia mpaka basi! Propaganda zenu zinaonyesha mnapumulia ICU, yaani mmeshiwa kabisa!
Maccm yamechanganyikiwa, wamekuwa kenge wanajitekenya wenyewe, wanacheka wenyewe
kumbe akihongwa anahama na kilichomrejesha ni kuzikosa je akipewa leo ataandika barua ya kuendelea kuwa chadema?
Maajabu
Kama anasema Watu wanahamia CHADEMA kwa kuhongwa kwa nini yeye hajahongwa? Bila shaka ushuhuda wake huu, ndio utakuwa mwisho wa tuhuma za uwongo kwamba CHADEMA inanunua watu kwa fedha. Amehamia chadema akidhani atapewa fedha sasa amekuta anatoka sifuri kitu ambacho ni CREDIT kwa CHADEMA!.Bila shaka ujumbe wake utafika vizuri kwamba "kama huna moyo wa uzalendo wa kutetea taifa na Watanzania wanyonge, na unataka kufanya kitu chochote tu maadamu unapewa rushwa , USIENDE CHADEMA". Chadema ni kwa wasafi wa moyo na si wapenda rushwa kama huyu jamaa mushi". Saizi yake ccm.Sas ccm mtamkubali na kumwamini tena? Ccm mmempa shilingi ngapi ili aje kwenu? Na ni ngapi mmempa za kuwadhalilisha akidhani anadhoofisha ukawa? Mburura kweli.Ila kweli kufa ni kubaya. Ninaona ccm inavyotapatapa wakati inakata roho.
Mwaka huu magamba mtajuta kumfahamu lowasa,maana kwa mara ya kwanza kwa miaka 54 ya uhuru mgombea wa ccm anapigwa chini na wapiga kura.....teeeeeeeh,teeeeh,teeeeeeh
Pesa za fisadi zimekutia upofu huoni wala husikii.