Hayawahusu, haya mapenzi ya dharura yametoka wapi? wanafiki wakubwa NAMUTAISOMA NAMBA MAKA HUU NDANI YA NJI II....Wimbi la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi kuhama chama chao na kwenda UKAWA hasa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kunaweza kupelekea mgogoro wa kisiasa baina ya wanachama wa zamani waliokikuza na kukilea chma dhidi ya wanachama wageni ambao miongoni mwao walikuwa wapiganaji msitari wa mbele kuing'ong'a na kuizodoa CHADEMA. Hili pia linaweza likachochewa na kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA aliyoitoa hivi karibuni kuwa mwanachama mpya wa siku moja ana haki sawa na mwanachama wa zamani kama yeye Freeman Mbowe. Hivi Wabunge wote wale 150 wanaopanga kukihama CCM wakihamia CHADEMA wanachama asili wa chadema nafasi yao itakuwaje?
Makapi lakini, hivi mtu kama Guninita ana madhara gani?
Wimbi la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi kuhama chama chao na kwenda UKAWA hasa kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kunaweza kupelekea mgogoro wa kisiasa baina ya wanachama wa zamani waliokikuza na kukilea chma dhidi ya wanachama wageni ambao miongoni mwao walikuwa wapiganaji msitari wa mbele kuing'ong'a na kuizodoa CHADEMA. Hili pia linaweza likachochewa na kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA aliyoitoa hivi karibuni kuwa mwanachama mpya wa siku moja ana haki sawa na mwanachama wa zamani kama yeye Freeman Mbowe. Hivi Wabunge wote wale 150 wanaopanga kukihama CCM wakihamia CHADEMA wanachama asili wa chadema nafasi yao itakuwaje?
Hayawahusu, haya mapenzi ya dharura yametoka wapi? wanafiki wakubwa NAMUTAISOMA NAMBA MAKA HUU NDANI YA NJI II....
Alafu kuna watu eti wanapinga ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA/UKAWA
Safi sana Mbowe na Kamati Kuu mliona mbali kwa maslahi ya ukombozi wa Taifa hili.
Adui yetu mkuu ni CCM na mfumo wake na Lowassa ni silaha tosha iwe ni silaha ya "mass destruction" au vinginevyo tunachohitaji hapa ni ushindi tu.