M/kiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja na John Guninita wajivua uanachama CCM na kujiunga CHADEMA

Kwa mtazamo wangu, Ingekuwa vizuri kama wangebaki CCM kuzuia wizi wa kura kwanza halafu wangeama baada ya uchaguzi mkuu.
 
Kuhama huko kwa wenyeviti wa CCM kutahitimishwa na kishindo kikuu kwa kuhama CCM John Pombe Magufuli! na kujiunga na mabadiliko nje ya CCM

Mwaka huu lazima CCM waisome namba!
 
Huyu Mzee Mgeja ni bingwa wa goli la mkono. Alipiga bonge la goli la mkono mwaka 2010 kwa jamaa yangu Shilembi, sasa amekuja huku lazima tutumie uzoefu wake kuwapiga goli la mkono maccm
 
Long time no see bro...

Hawa CCM Ibada ya kwanza inaisha tu na ushindi unaenda UKAWA..

kaka nipo...sema majukumu yametight kidogo..
mambo mwemere mwemere tunatwanga kotekote Bongo mpaka Bay Area...
 
Unataka ujue madhara ya Guninita, subiri Oktoba 25, kwani idadi ya kura watakazopata CCM ondoa kura yake pamoja na wafuasi wake halafu ziongeze ukawa..

Wana jichuja mkuu. Kitu kweli kinakuja ukawa, makapi yanabaki kijani. Hata chemia ndivyo ilivyo fomula.
 
Mimi nashangaa hao ndiyo walikuwa watendaji wakuu wa chama na sasa ndiyo sera zao zile zile na uzoefu wao uleule ndo wanaamishia chadema

Wenzio wanaangalia hesabu na maumivu waliyoyaacha walikotoka. Wanakohamia hawapewi nafasi ya uongozi wanaongeza hesabu
 
Back
Top Bottom