M-bongo na M-kenya!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Mtanzania na mkenya waliingia supermarket moja jijini DSM.Walipotoka nje,mkenya akawa anajigamba kwamba wakenya ni wajanja kuliko wa-TZ huku akimuonesha m-TZ chocolate tatu alizokwiba supermarket.M-bongo akamshawishi mkenya warudi tena ndani ya supermarket ili naye akamuoneshe ustadi wake.Walipofika tu ndani,m-TZ akamwambia mhudumu,'nataka kukuonesha mazingaombwe,hebu niletee chocolate tatu!'.Yule mhudumu akamletea chocolate tatu,jamaa akazila zote mbele ya mhudumu halafu akasema,'unaona mhudumu,mwenyewe umeshuhudia nimekula chocolate tatu lakini amini usiamini,chocolate zako ziko mfukoni kwa huyu jamaa'.Mhudumu akamkagua mkenya mfukoni then akachukua chocolate zake zote tatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom