Lusinde: Tuondoe picha za wanyama kwenye fedha za Tanzania...

Kama cv yake ndo hiyo, basi nimsamehe bure maana hana chakuchangia. Anataka aonekane yupo kwa kutumia ujinga kwani shule hakuna yupo hapo kwa bahati mbaya.
 
Weka yale matokeo ya mbowe tuone division ziro za huyo mzaliwa uhuru.
Kufel sio kutokujua,.hivi kwel na wewe unasapot picha ndo inayodetermine value of money in the market,hii nchi kweli vilaza wako wengi,hivi hizo international trade mnafanyaje simnaibiwa sana,nenda kasome money market utajua.,mnatutia aibu tena viongoz
 
mkuu, mawazo unayotoa yananipawasiwasi nawe kama umesikiliza au umeanza vituko maeneo haya. SLAA unamhusisha vipi na mawazo ya Lusinde?
 
Amesema hivi:

"Sarafu yetu ya shillingi inazidi kuporomoka dhidi ya sarafu nyingine kwa sababu ina picha za wanyama, na kushauri kwamba ili kuinua thamani ya shillingi, tuondoe wanyama wote kwenye fedha zetu na kuweka picha ya nyerere na karume tu"



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

My God! sasa hao wanyama wana uhusiano gani na kushuka kwa thamani ya shilingi? Na mnamwita huyu Lusinde eti mheshimiwa mbunge! Wananchi wa Mtera mnadhalilishwa mchana kweupe kwa kuchagua kilaza.
 
mkuu, mawazo unayotoa yananipawasiwasi nawe kama umesikiliza au umeanza vituko maeneo haya. SLAA unamhusisha vipi na mawazo ya Lusinde?
Anataka kumfananisha na kilaza Lusinde.,imagine kungekuwa East African Currence Lusinde ndo kachangia hoja kwenye bunge la EA maweeeeeeeee...
 
mpwa Elli. saudari na Bujibuji another goofy sentence hiyo from an empty headed stupid jerk.. naomba muingize kwenye hansard zile mlizozitunza.. kwa matumizi ya baadae.. ati jembe.. labda la kichina..
Hata jembe la kichina ni zuri pengine useme ni jembe la kuchora......ana laana kichwani eti alikua anahojiwa BBC mmmhhh niliishia tu kucheka
 
Lusinde jembeeeeee. Tumewazoa kila anayewapiga mnamwita kilaza. Kwani slaa hakujikopesha hela. Hana mtoto mchanga

Bila ushabiki, umevamia JF! Ukikua utaacha na kuanza kuchangia kwa hoja, inaonekana bado unavaa "Pampers"
 
Mh! Hii nchi yetu bado sana.... Cha kusikitisha zaidi ni kwamba hat ninawaamini kuwa wana busara upande wake wamekaa kimya... kuashiria kwamba wanaona aropokayo huyu ni sawa tu!
 
Kauli hii aliyotoa huyu Mheshimiwa Bungeni leo sijaielewa kabisa, Labda ni upeo wangu finyu kuelewa au ni upeo wake finyu kufikiri! Tafadhali kama anapita hapa akifafanua itakuwa jambo jema kwetu wananchi, au wachumi walioko humu watusaidie. Yaani matatizo yoote yanayoikabili shillingi ya Tanzania dawa yake ni kubandika picha ya Nyerere na Karume tu?....so simple! OMG!
Unategemea nini kutoka kwa darasa la saba? Hopeless. Hata nguo aliyokuwa amevaa haikuwa imenyooshwa.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hivi mpaka leo hajui kuwa pesa ni shetani? Dola yenyewe ina alama ya nyoka, sembuse shilingi??
 
Alipokuwa akitoa maneno hayo ya kitoto, wabunge wa ccm walishangilia kwa nderemo na vifijo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mwenye cv yake aiweeke hapa.maana huyu jamaa kama vle anatakiwa awe milembe analeta udaku bungeni.
Acha uvivu wewe cv zao sipo kwenye website ya bunge, naona itabidi tuombe ya kwako kabisa kutokana na uvivu wa kutafuta information
 
Huyu lusinde naona sasa matusi yamemuishia...maana anarudia matusi anayotoa kila siku..mfano hilo la mimba alishawatukana mh.mbowe, slaa na nasari wakatI wa uchaguzi wa arumeru mashariki.sasa inabidi aende vijiweni apate matusi mapya tumechoka na matusi yake ya kurudia rudia hayana maana yanachosha. Haya tuje kwenye upeo wa huyu jamaa ni kilaza sijapata kuona....hata huo ubunge sijui aliupataje...labda kwa vile ccm ni hodari wa wizi wa kura..lusinde ni kilaza sijawahi ona huyu na mwinguru mchemba la mavi aka fake movies ni vilaza na mataahira kwenye hii nchi.
 
Anataka kumfananisha na kilaza Lusinde.,imagine kungekuwa East African Currence Lusinde ndo kachangia hoja kwenye bunge la EA maweeeeeeeee...

Mkuu wangu,binafsi licha ya kuwa mfuasi wa sera za Mwalimu Nyerere,huwa namlaumu jambo moja kubwa,kuwasomesha watu ambao walitakiwa kuendelea kuchunga ng'ombe maporini,kulima vibarua huko vijijini na kufanya kazi za ndani! Watu wa aina hii hawajawahi badilika kiakili. Na wengi wao ni viongozi ndani ya CCM!
 
Back
Top Bottom