ungekuwa wewe ndiye Ali Kiba...unapita hapo sinza vatican na kukutana na Lulu barabarani akiwa desperate na anahitaji lifti pasi na wewe kujua kuwa amesha-mkolimba mtu, ungemnyima hiyo lift????!!!!!
...muendelezo wake si ajabu ukawa hivi: baada ya kupanda gari lilipata pancha pale BP, Cabo Snoop ndiye aliyepiga jeki, Akon akaziba na supagluu kutoka kwa Chameleon. Lakini gari likazimika, DJ Cleo akawapa waya wa boost... Barnaba akasema haufai ...
jamani si kweli kwa mujibu wa Ally kiba alipohojiwa na fetty kupitia kipindi cha XXL leo mchana. alisema siku hiyo tukio limetokea alikuwa coco beach na yeye alizipata kupitia kwa watu na hakuamini na ndipo akampigia lulu kwakuwa ndiyo namba pekee ya wanasanii wa kuigiza aliyokuwa nayo na kuzungumza naye ambapo alimwambia hajui anachojua ni kwamba kanumba anaumwa. tuwe makini kwa hili JF ni sehemu ya kufundisha na kutoa habari za uhakika si za udaku!!!!!
Kwa hiyo na wewe ni Great thinker¿ Au gret tanker? Watu wanatoa habari halafu nyinyi mnaleta jokes za kibongoflavour humu.nendeni mkauze sura face book pls...muendelezo wake si ajabu ukawa hivi: baada ya kupanda gari lilipata pancha pale BP, Cabo Snoop ndiye aliyepiga jeki, Akon akaziba na supagluu kutoka kwa Chameleon. Lakini gari likazimika, DJ Cleo akawapa waya wa boost... Barnaba akasema haufai ...
Wapi source?
hata mi niliskia juzi usiku kwenye taarifa ya habari sauti ya injilijamani si kweli kwa mujibu wa Ally kiba alipohojiwa na fetty kupitia kipindi cha XXL leo mchana. alisema siku hiyo tukio limetokea alikuwa coco beach na yeye alizipata kupitia kwa watu na hakuamini na ndipo akampigia lulu kwakuwa ndiyo namba pekee ya wanasanii wa kuigiza aliyokuwa nayo na kuzungumza naye ambapo alimwambia hajui anachojua ni kwamba kanumba anaumwa. tuwe makini kwa hili JF ni sehemu ya kufundisha na kutoa habari za uhakika si za udaku!!!!!