Safina
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 497
- 64
jamani si kweli kwa mujibu wa Ally kiba alipohojiwa na fetty kupitia kipindi cha XXL leo mchana. alisema siku hiyo tukio limetokea alikuwa coco beach na yeye alizipata kupitia kwa watu na hakuamini na ndipo akampigia lulu kwakuwa ndiyo namba pekee ya wanasanii wa kuigiza aliyokuwa nayo na kuzungumza naye ambapo alimwambia hajui anachojua ni kwamba kanumba anaumwa. tuwe makini kwa hili JF ni sehemu ya kufundisha na kutoa habari za uhakika si za udaku!!!!!
Kidude cha Aksante sijakiona naomba nimekugongea cha 'like' pia sijaridhika, chukua thank u hapa.