Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,993
tayari kifo chake kimeleta mabadiliko kwa baadhi ya wa tanzania.
Kuna aliekunywa sumu ya panya huko misugusugu
kuna alieachika shinyanga
umeshhau kuna motot wa kanumba ameonekana shinyanga analetwa alhamisi na mie ntakuwa basi kituoni kusubiri anafanana si mchezo