Kama kwenye fomu ya polisi alisema 18 hakuna haja ya kupepesa macho,,,,,,aliongea akiwa na akili timamu,,,,iaminike hivyo,,,,,haina haja ya kwenda clouds wala wapi
Let's face it ... hili suala linaonyesha udhaifu kwa serikali yetu pia. Kwanini ulazimike kuchunguza umri wa mtu kwa kupitia maombi yake ya passport ya kusafiria na driver's license. Vipi kuhusu cheti chake cha kuzaliwa? Kwani hakuna record yake ya kuzaliwa? Alizaliwa wapi na ilirekodiwa vipi? This case is getting ridiculous!
Asante Angel.yaani mtu na akili zako unatuambia alisema ana 18 kwenye tv show au movie hiyo ndio proof ya umri wake?this is ridiculous!teenagers dunia nzima wanadanganya umri ili waingie club,wanunue sigara,wanunue pombe!tena kwenye nchi ambazo wako strict itakuwa Lulu!kadanganya ili apate driving license na passport aweze kusafiri(shwa) na kasaidiwa na watu wazima wasio na utu wala aibu....
kwani hao rita hutoa vyeti mara mbili mbili? Kama majina yanatofautiana na la kwake si hao rita basi wamwandikie jina sahihi na kwamba ana 17? Nchi hii klia mtu mjuzi.
Sasa hana cheti cha kuzaliwa?
Jamuhuri imetoa vithibitisho kwamba (ELIZABETH MICHAEL)Lulu ana zaidi ya miaka18.
Aidha mawakili wa Jamuhuri wakiwakilisha vidhibitisho hivyo wamesema wamepata baadhi ya vidhibitisho ikiwemo cd iliyorekodiwa kabla na moja ya chombo cha habari CLOUDS TV chini ya mtangazaji "ZAMARADI MTETEMA"zinamuonyesha Lulu akikili kwa mdomo wake kwamba ana zaidi ya miaka18.Aidha vidhibitisho vingine vilivyopatikana kutoka police vinaonyesha maelezo ya Lulu kwenye form wakati akiomba pass ya kusafiria na driving licence zinaonyesha Lulu(ELIZABETH MICHAEL)ana zaidi ya miaka18.
Hii nchi kila kitu ni ubabaishaji! Kama kweli hii nchi inafuata sheria yakutoa vyeti vya kuzaliwa na kuzingatia umri wa mtu mbona hawalizingatii hili ambalo wameliweka kwenye chupa za bia kwakuandika kua HAIUZWI CHINI YA UMRI WA MIAKA 18?
sasa hapo ni amekwisha na je atashtakiwa kwa kosa jingine la kuidanganya mahakama au inakuwajewajuzi wa sheria tujuzeni.... maskini lulu jela itamuozea
waliomshauri walikosea sana kwani wamejisahau kuwa lulu alikuwa na leseni ya kuendeshea gari,passport ya kusafiria na kumbumbuku ya hitu hivi hupaki serikalini hata kama wazazi wake walikwenda kufoji cheti cha kuzaliwa rita tayari lulu alishatengeneza leseni na pasi ya kusafiria kitambo
Asante Angel.yaani mtu na akili zako unatuambia alisema ana 18 kwenye tv show au movie hiyo ndio proof ya umri wake?this is ridiculous!teenagers dunia nzima wanadanganya umri ili waingie club,wanunue sigara,wanunue pombe!tena kwenye nchi ambazo wako strict itakuwa Lulu!kadanganya ili apate driving license na passport aweze kusafiri(shwa) na kasaidiwa na watu wazima wasio na utu wala aibu....