Lulu amsahau mwanaume wake wa kwanza

Nyundo Kavu

Senior Member
Dec 6, 2011
186
85
MAKUBWA! Pamoja na umri mdogo wa miaka 18, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ameacha watu midomo wazi baada ya kusema kuwa amemsahau mwanaume wake wa kwanza aliyevunja naye amri ya sita katika vitabu vitakatifu, yaani uasherati.
Lulu ambaye ametupia sokoni muvi yake mpya ya Foolish Age aliliambia The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda kuwa, mbali na kutokumkumbuka mwanaume huyo, hakumbuki pia alianza sanaa hiyo akiwa na umri gani.
“Kusema kweli sikumbuki kabisa mwanaume wangu wa kwanza na usiniulize nilikuwa na miaka mingapi kwani sikumbuki chochote ‘coz’ ni siku nyingi sana na mambo yanabadilikika kila siku,” alisema Lulu akikinzana na maelezo yake aliyoyatoa hivi karibuni kuwa bado hajatolewa ‘usichana’ wake.
Pamoja na staa huyo mkali wa muvi kutajiwa baadhi ya wanaume waliowahi kudaiwa kutoka naye, aliendelea kushikilia msimamo wake kuwa hamkumbuki.

Lulu amsahau mwanaume wake wa kwanza - Global Publishers
 
Kajinga tu kale katoto halafu ni kauni kanajifanya akamjui mwanaume wakati hata miguu imepindishwa na wanaume kwa sbb ya kuanza mambo hayo katika umri mdogo akawadanganye wajinga wenzie,
 
kanapenda kujipendekeza kwa watu maarufu hasa wale wenye hela! mambo ya kuiga hayo, kuhusu kugawa na nyuma c wanaona fashion! kuna siku nlienda lamada hotel(kijiwe cha wasanii wengi, sijui ndo wanapojiuzia) nikamkuta reception, yani kamepumzika wakati kuna sehem kibao na nzuri za kupumzka mule lamada. hapo reception kuna masofa km ukiwa mmefka kwa mara y kwnza mnasubiri huduma ndo mnakaa hapo! lakini ye hakua mgeni alikua amevaa labda niseme kiboxer na kitop kajianika mapokez kwa hyo kila mgeni atakaekuja lazima amuone. nlikaa hotelin km cku 3 ndo cku zote unamkuta hapo!
 
Back
Top Bottom