Hapa tz kumekuwa na tabia ya chama kikongwe kujaribu kuwachafua vyama mbadala kwa njia mbali mbali, moja wapo ikiwa ni magazeti iwe ya serikali au binafsi, kwa kununua waandishi wa habari nk nk, jingine limekuwa ni kuweka mapandikizi kwenye vyama vya upinzani ili wafanye matendo yasio endana na ya hicho chama mbadala.
Pia vyombo vya umma iwe polisi nk nk vimekuwa vikitumika pia kutaka kuonyesha ubaya wa vyama mbadala, na pia kuwepo na vyama mbadala ambavyo ni tawi la chama kikongwe. na sasa hivi ni kutumika kwa bunge kuonyesha kwamba vyama mbadalla havi fai, kwa mfano juzi/jana kumekuwepo na hotuba ya waziri kivuli wa mambo ya ndani ambaye kaongea ukweli wa hali ya nchi yetu ilivyo, lakini katokea waziri moja na mbunge akidai hotuba hiyo ni ya uchochezi, wakati vitendo vya kuwadhulumu watu ndio uchuchezi mkubwa kuliko huo unaosemwa na mbunge Lema, au zile hotuba za kidini zinazotumika wakati na hata baada ya uchaguzi, na hata zile makala za kimaandishi, kimaneno au kipicha kuhusu mauaji ya rwanda, vita ya kongo nk nk.
ninaomba vijana kwa wakubwa wawasaidie kuwapa elimu ndugu zetu wa chama kikongwe ili kuikomboa taifa kutokana na migogoro isiyo na tija.
Pia vyombo vya umma iwe polisi nk nk vimekuwa vikitumika pia kutaka kuonyesha ubaya wa vyama mbadala, na pia kuwepo na vyama mbadala ambavyo ni tawi la chama kikongwe. na sasa hivi ni kutumika kwa bunge kuonyesha kwamba vyama mbadalla havi fai, kwa mfano juzi/jana kumekuwepo na hotuba ya waziri kivuli wa mambo ya ndani ambaye kaongea ukweli wa hali ya nchi yetu ilivyo, lakini katokea waziri moja na mbunge akidai hotuba hiyo ni ya uchochezi, wakati vitendo vya kuwadhulumu watu ndio uchuchezi mkubwa kuliko huo unaosemwa na mbunge Lema, au zile hotuba za kidini zinazotumika wakati na hata baada ya uchaguzi, na hata zile makala za kimaandishi, kimaneno au kipicha kuhusu mauaji ya rwanda, vita ya kongo nk nk.
ninaomba vijana kwa wakubwa wawasaidie kuwapa elimu ndugu zetu wa chama kikongwe ili kuikomboa taifa kutokana na migogoro isiyo na tija.