Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="10">
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
</td></tr></tbody></table>
</td> <td width="606">
</td> <td align="right" width="139">photos</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. William Lukuvi, mchana huu, alitembelea jengo la ghorofa saba lililopo Mtaa wa Mafia na Swahili, Kariakoo jijini Dar, lililopigwa marufuku na Halimashauri ya jiji, kuendelea kujengwa kutokana na ujenzi duni unaotishia usalama wa wakazi wa enoe hilo. Mh. Lukuvi akiwa na Bodi ya wakandarasi wa Halmashauri ya jiji walilitembelea jengo hilo na kulikagua sehemu mbalimbali. Baada ya ukaguzi huo, nyumba zaidi ya tano zenye miradi mbalimbali ikiwemo Hoteli na maduka na wakazi wake walitakiwa kuhama mara moja kuepuka jengo hilo linalotishia kuanguka wakati wowote. Je, katika suala hili, nani wa kulaumiwa iwapo jengo hilo litaanguka na kuwadhuru wengine na pia gharama za kuhama na usumbufu wake kwa majirani, nani atazibeba? Ni baadhi ya maswali tata yakujiuliza katika kadhia hili..!
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...hili ndilo Jengo linalotishia usalama
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Mh. lukuvi akishuka ghorofani baada ya kulikagua.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
..Mh. Lukuvi (katikati) na mainjinia wa Halmashauri ya jiji wakiziangalia nyumba za jirani na jengo hilo ambazo wamewapiga stop wakazi wake kuendelea kuzitumia.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Nyumba hizi tatu za mbele zote wakazi wake wametakiwa kuhama mara moja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Umati wa watu ukilitazama jengo hilo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Nyumba hii nayo wakazi wake wametakiwa kuhama mara moja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
mpaka jengo linafikia hatua hii, mamlaka husika zilikuwa wapi?
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...hili ndilo Jengo linalotishia usalama
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Mh. lukuvi akishuka ghorofani baada ya kulikagua.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
..Mh. Lukuvi (katikati) na mainjinia wa Halmashauri ya jiji wakiziangalia nyumba za jirani na jengo hilo ambazo wamewapiga stop wakazi wake kuendelea kuzitumia.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Nyumba hizi tatu za mbele zote wakazi wake wametakiwa kuhama mara moja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
...Umati wa watu ukilitazama jengo hilo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Nyumba hii nayo wakazi wake wametakiwa kuhama mara moja.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
mpaka jengo linafikia hatua hii, mamlaka husika zilikuwa wapi?
</td></tr></tbody></table>