Luhanjo kuongezewa miezi 3?

Jamaa imempendeza amtaje Mwapachu bila kujali umri wake. Anashindwa kuelewa kwamba Mwapachu alishafikisha umri wa kustaafu miaka mingi iliyopita na teuzi zake zimekuwa zinazingatia umuhimu wake kuliko umri wake. Lakini la kujiuliza ni kwamba kuna tatizo gani kwa mtu kupewa nyongeza ya mkataba kama anafanya kazi nzuri? Luhanjo aachwe aendelee kuchapa kazi kwa maslahi ya Taifa, labda Rais mwenyewe aamue kwamba sasa ni wakati wa kumpumzisha.

your right!
Huyu baba anafaa kuendelea hana tabia ya ufisadi.
Lakini atuandalie mrith kabla hajaondoka.
 
David Jairo ameingizwa kingi na watoto wa mujini akina Januari Makamba! Hii inanikumbusha wakafi wa awamu ya tatu wakati BWM alitaka kumteua Odemba wa aliyekuwa MD waNasaco kuwa Gavana as BOT. Watoto wa mujini wakainyaka na wakamsukia dili la kumuuzia madini feki ya uranium, na alipofika sehemu ya tukio akakutana na wana usalama wakalishughulikia. Huo ukawa ndiyo mwisho wa Odemba. Nasikia yuko USA ni lecturer. Mara nyingine wakuu hawasikii inabidi wataalamu wafanye mambo kama hayo
<br />
<br />
Ndiyo hayo hayo niliyo yasema humu kwamba sisi waTanzania tuko mahiri sana katika fani ya kuchafuana, kutotakiana mema, traits hizi huko kwetu zinajulikana kama "OKUTENDELANA" tukiendeleza udhaifu huu basi maendeleo kwetu itakuwa ndoto za mchana. Chukulia mfano uliotolewa humu: tunaelezwa kwamba Bw.ODEMBA alifanyiwa njama na wabongo wenzetu kisa hasifanikiwe kuwa Gavana wa BOT!! Si hilo tu mnamtumbukiza hata January Makamba eti ndiye kamuingiza mjini Jairo! Jamani tunakwenda wapi?
 
Wote nawaona hamjengi hoja, mtu kuongezwa mkataba ni kitu cha kawaida. sioni shida hapo labda angekuwa si mtendaji. Lakini pia kama umefikisha umri wa kustaafu ni haki kwako na wajibu wa mwajiri wako kuhakikisha kuwa nafasi yako inapokelewa na mtu mwingine mwenye uwezo.

Kwa hoja ya mleta habari anaonekana wazi kuwa kuna majina alikuwa anataka tuyaone na pengine na mwajiri ayaone ama wafikiriwe au waondolewa kabisa kwenye list kama wapo.
 
Jairo kaharibu mambo siyo!ukimwa unamaanisha hakuna aliyempendeza.subiri tuone.
 
Membe alisema " ikimpendeza, ikimpendeza aweza muongezea miaka hata kumi, ikimpendeza" sio ikitupendeza sisi.
 
<br />
<br />
Mkuu una maana gani kumtajia JK majina! Yeye kama kiongozi wa nchi ana weledi mkubwa tu wa kujuwa afanye nini at any given time, sisi raia hatupashwi kumpangia TIME LINE ya kubadilisha/kutehua viongozi. Threads nyingi humu zima anzishwa kwa nia nzuri tu yaani kwa masilahi ya TAIFA, lakini kuna wakati mwingine zinaletwa hoja ambazo ukiangalia kwa makini unaona kuna an hidden agenda ya kujaribu kuwapamba watu au kuwabomoa kwa hila tu.


Heeey..we vp! sasa unatete nini, wakati daima kabla JK hajafanya uteuzi wowote tayari Taifa linakuwa linajua nani anateuliwa..kumbuka Baraza la Mawaziri,,tulilijua kabla one week b4, mi binafsi nilisoma Mwananchi, na JK alipotangaza hakukuwa na mabadiliko.. Vp Chief Justice, tulimjua kabla JK hajamtangaza..na post zingine kibao.. Hata Dr. Shein kwenda Kuwa rais Zenji, tulijua kabla JK hajamwambia aende huko. Ndo utaratibu wake huo. Mwache kijana atupe list inawezekana akapatia.
 
Mkuu kuongezwa muda si tatizo,Kwa nafasi nyeti kama hiyo kuna mambo mengi muhimu ya Kufinalise, na ukizingatia kuwa yeye ndiye mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais Kuleta mtu mpya Kunaweza zorotesha utendaji, mara nyingi mtu mpya anahitaji muda kabla hajaanza kumudu.
 
Wote nawaona hamjengi hoja, mtu kuongezwa mkataba ni kitu cha kawaida. sioni shida hapo labda angekuwa si mtendaji. Lakini pia kama umefikisha umri wa kustaafu ni haki kwako na wajibu wa mwajiri wako kuhakikisha kuwa nafasi yako inapokelewa na mtu mwingine mwenye uwezo.<br />
<br />
Kwa hoja ya mleta habari anaonekana wazi kuwa kuna majina alikuwa anataka tuyaone na pengine na mwajiri ayaone ama wafikiriwe au waondolewa kabisa kwenye list kama wapo.
<br />
<br />
Nakuhunga mkono mkuu, mimi hilo nililiona mapema sana ndiyo maana nilisema tangu mwanzo kwamba tusijaribu kutumia mbinu za kum-pressurise JK katika uteuzi wa viöngozi kwa kumtajia majina in advance, labda niwakumbushe kwamba ****** huyu his maker endowed him with a razor sharp grey matter of his own, haitaji an orthodox mbimu za kwetu za kumtajia majina ya watu (kuwapigia debe) kwanza kiongozi yeyote akiona majina yanatajwa tajwa hata kama alikuwa na nia ya kuwatehua jina/majina yao anayafutilia mbali maana hatajuwa kwamba kumbe hakuna siri tena kwenye utehuzi - matokeo yake ni nini: watu wenye nia mbaya kwa watu fulani watataja taja majina yao delibalately hili wakose nafasi hizo, au being ignorant wanafikili wakitaja majina ya watu fulani basi hilo tu lita-catch attention ya JK! you are DEAD WRONG...
 
Jamani nchi hii ina vijana wengi makini na wenye uchungu kamilifu na nchi, kijana anaweza kuwa Katibu mkuu kiongozi kwa zaidi ya miaka 15 bila kubadilishwa ili kuwe na uimara kwenye serikali. Serikali sio Rais ni watendaji na huyu Luhanjo amepwaya sana ndo sababu unaona madudu yamekidhiri. Ndugu yangu JK fanya maamuzi yenye tija acha maneno kama Stupid guys hayatakufikisha kokote. The guy you are calling stipud will never vote for you ever again. I mean you are going but life have started for your kids watch out that god given mdomo. Ramadhan Kareem
 
Ni vigumu kwa mtu mwenye akili za kawaida kuwaelewa wabongo! Kwa vigezo vyovyote vile, katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo umomonyoko mkubwa maadili na weledi katika utumishi wa umma. Katika hali hiyo ni vigumu kuelewa ni kwa msingi upi mtu ambaye amekuwa kinala wakati mambo yakizorota anavyoweza kuendelea kuganganiwa kama kwamba ni bidhaa adimu
 
Du Saad Fungafunga ni kimeo ile Mbaya na sijui umefikiria nini kumweka ktk list hii, huyu si aliboronga NIT? Na ni mnafiki ile mbaya halafu ni mla rushwa mzuri sana. Nchi hii sasa imekuwa ya waswahili kila kukicha wanajiongezea vyeo ambavyo havina tija kwa taifa hili. Hivi katibu mkuu kiongozi anakazi gani hasa ya ziada? mbona wakati wa tawala zilizopita hapakuwepo nacheo hicho? Kulikoni sasa hivi? Du huyu jamaa kweli ni kaole.
 
JK KAZI BADO ANAYO....,
KUFANYA VETTING YA KUMPATA FISADI MZURI HUWA INACHUKUA MUDA MREFUUU.....!

Kama tujuavyo JK huwa ana tabia ya kipekee ktk uteuzi wake, huwa mara nyingi hujali sana mtu fisadii na asiye na sura ya huruma ktk ufisadi badala mtu safi mjenga nchi....!

So kuendelea kw P Luhanjo ni JK ku-buy TIME ktk kutafuta fisadi bora zaidi ya wengine! kuna kutuma vijana kuangalia ktk accounts zao za nje na za hapa bongo kucheck balances zao, wana mali gani n then nani ni bora zaidi ktk ufisadi!

2010 baada ule uchaguzi ambao NEC walitutenda,
je mpaka leo kuna baadhi ya taasisi, mikoa, wilaya ngapi? hazina watendaji wateule wake.. nn zaidi ya kushindwa kupata mafisadi bora waliotukuka toka ndani ya CCM na Govt.

JK punguza kuwatenda watanzania kwa kuteua viongozi wasiofaa....., wape haki yao ya kupatiwa viongozi safi wenye kuweza kuwashirikisha wananchi ktk kuwapa nafasi ya kutengeneza maisha bora, kuliko kuwaahidi ujinga wa subira ya kupewa! kisa ubinafsi, kila jambo ni wao na family zao tuuu....!

KIONGOZI JUHA huwa anatoa ahadi tuu, but KIONGOZI MWEREVU huwa anatoa chance kwa watu wake kushiriki ktk kujenga uchumi wa pamoja!
''pale kila mwanachi akishiriki ktk ujenzi wa uchumi, hupata share stahiki...''
 
Anatafuta jina la kukurupuka tu,muda si muda utasikia fisadi papa hilo limetangazwa.ndo tanzania yetu ya leo wapendwa.
 
Mi namkumbuka Luhanjo kwa issue moja tu. Baada ya kuteuliwa kuwa CS, mtoto wake Vailet graduate wa sheria 2006 akaanza kutafutia marafiki zake kazi wakati yeye akipiga deiwaka, tukamshangaa, ghafla tunasikia yuko 8=2, kazi ilitangazwa lini, atakuwa anajua mwenyewe. So to me ukimtaja Luhanjo basi humkumbuka mwane.
 
Back
Top Bottom