Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
Katibu mkuu kiongozi bwana F. Luhanjo ambaye yuko katika muda wa ziada wa miezi mitatu aliyoongezewa analaumiwa vikali na wafanyakazi wa wizara ya ujenzi kwa harakati zake zake za kuhakikisha katibu mkuu wa wizara hiyo balozi H. Mlango naye pia anaongezewa muda, balozi Mlango ambaye muda wake umeisha karibu mwezi wa pili sasa hakumudu kabisa nafasi hiyo na kuwa mzigo kwa wizara, tunahoji huu mpango wa kuongezea muda wastahafu hawa mantiki yake nini?
Kwani hakuna wazalendo wengine wanaoweza kushika nyadhifa hizo?
Kwani hakuna wazalendo wengine wanaoweza kushika nyadhifa hizo?