Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Kwa nini mtu ukitaka kujifunza lugha mpya unaanza kwanza kufundishwa matusi.
Hapo ni sawa na kupewa tahadhari kwamba katika jamii hiyo hayo ni matusi........... Maana usije ukamtamkia mtu na akakufanyia kitu mbaya. Na hivyo utakuwa makini katika matamshi yakoKwa nini mtu ukitaka kujifunza lugha mpya unaanza kwanza kufundishwa matusi.
ili ukitukanwa usianze kuchekelea kama JUHAKwa nini mtu ukitaka kujifunza lugha mpya unaanza kwanza kufundishwa matusi.
..........utajuta!Sipati picha Mzee wa Kikurya umwite shoga mbele ya mke wake na watoto, halafu ujitete kuwa hujui lugha.
Nyambafuuuu