Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Ya ngoswe mwachie ngoswe. Napita tu mie.
Hii ni hoja ya kipumbavu, kwani mbunge wenu anayeitwa filiku Njombe ni wa Njombe? Ebu tuondoleeni upangwa wenu hapa nyie majuha.wewe ni mchaga ehe tuachie ludewa yetu!!!!
Kwasababu Masaburi yako sio makubwa kama ya falcon ndio maana huelewi kwani hakieleweki nini ?? Kwamaba watu waliahidia maji vijiji kumi na kuchanga initial fund m 15 na mradi hakuna wanadai warudishiwe hela zao kwa mapigano huko ludewa!!!
Matokeo yapi ya watu wauane kwa sababu hakuna uongozi wakutolea maelezo matatizo yao??? au matokeo ya deo kwenye uchaguzi kushinda kwa kuhonga na kuwekea chuki watendaji wa halmashauri ya Ludewa??? Deo hana tofauti naaaaaaa........ kwa visasi na jazba hafai kuwa kiongozi wewe kama secretary wake naomba umueleze. Bye the mission wamechukua shule yao mwambie akajenge japo darasa moja pale port watoto hawana pakusomea.
Mkuu mimi hoja yangu ya msingi ni maji lakini hili la visasi vya jamaa wewe kaa ludewa usiku mmoja tu utalipata..Mmh ebu declare kwanza mgongano wa kimaslahi katika hili, isiye ikawa na wewe yalikukuta, umeathiriwa au unahofu ya kukumbwa na hili; Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: BREAKING NEWS..... BARAZA LA MADIWANI LUDEWA LAMSIMAMISHA KAZI AFISA UTUMISHI WA HALMASHAURI HIYO JUMA ALLY
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, napita mie hakika ubunge gharama wacha yeye aende nnje ya nchi akatafute misaada kwa watu wake teh teh hehehheeeeeeee uchaguzi gharama bwana.....hehehehe atauza nini tena bila kusaka za wazungu za msaada teh teh fikra mgando tegemezi. Mfikishie salaam mwambie watu wanauana ndio hoja yangu ya msingi swala ni usanii wa miradi ya maji vijiji kumi full stop. hayo mengine mazungumzo baada ya habari. Mwambie kesi inaendelea ile ya kumfu................... hehehehe raha utamu
mchaga 25 mie ninapenda kuamini kuwa hoja yako ya hivi vijijiji 12 kukosa maji ni nzuri na ni ya msingi, kwani maji safi na salama ni jambo la lazima, hasa kwa karne hii ya leo ambapo tanzania tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wetu.Mkuu mimi hoja yangu ya msingi ni maji lakini hili la visasi vya jamaa wewe kaa ludewa usiku mmoja tu utalipata
Amani ilishavunjwa long time tangu mafisadi waliposhika kasi na wala haukuanzia ludewa, hayo huko Ludewa ni matokeo tu ya amani kuvunjwa long time ago.
Uelewe kwamba Tz hamna amani ila kuna uvumilivu ambao watu wengi wamekuwa wakidhani ni amani.
huna uhakika na unachokisema ndo maana thread yako imeshindwa kueleweka. Kwanza Ludewa hakuna kikosi cha Polisi cha FFU. Na pili katika vijiji vyote vya Ludewa hakuna hata kijiji kimoja kinachoitwa Lifue, hapo juu.wewe ni mtu wa ludewa ipi??? mbongo, manda, lupande, mlangali au lifue wanapokamatana uchawi kidogo
upo sahihi arabianfalcon, mhe deo filikunjombe amesafiri kikazi nje ya nchi, na kama nilimwelewa vema safari hii ina tija zaidi kwa wana ludewa. asante falcon kwa kutujuza.
mchaga 25 mie ninapenda kuamini kuwa hoja yako ya hivi vijijiji 12 kukosa maji ni nzuri na ni ya msingi, kwani maji safi na salama ni jambo la lazima, hasa kwa karne hii ya leo ambapo tanzania tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wetu.
Lakini pia mimi ninashaswishika kuamini kuwa unautumia mjadala huu vibaya kwa sababu zako binafsi, unazozijua weye, ili upate fursa ya kumshambulia mhe. filikunjombe. Kama una hoja juu ya huyo Deo wenu zimwage jukwaani katika thread nyingine na sisi wana ludewa tutakuunga mkono, bila hiyana.
Kwanini ninashawishika kuamini kuwa na jambo limejificha nyuma ya thread yako:-
1. Umeanza kumtukana arabianfalcon bila sababu ya msingi. Na ndo maana tunakuomba utupe data zaidi kwani hatujakuelewa kwanini unamtukana arabianfalcon
2. Kwamba Filikunjombe aliuza kisima chake, hii haina uhusiano wowote na wananchi kukuosa maji, hapo kwanza mie nilidhani Filikunjombe ameuza petrol station ya halmashauri ya wilaya ya ludewa,
3. Kwamba mhe. Filikunjombe kwenda ulaya kutafuta misaada (kama kweli amekwenda kufanya hivyo) kwa ajili ya wana ludewa ni utegemezi mbovu wa kiongozi huyo, lakini unasahau kwamba hayo maji ya vijiji 12 ambayo wana ludewa wanayapigania mpaka inabidi watulizwe na FFU, na hayo maji ambayo wewe unayataka Filikunjombe ayafuatilie ni maji ya mradi wa Benki ya Dunia, huu kwako si utegemezi,
4. Kwamba Filikunjombe ana chuki na watumishi wa halmashauri ludewa, na kwamba unahitaji siku moja tu kujua mabaya ya Deo pale ludewa, unasahau kwamba unahitaji nusu saa tu kupata mazuri ya deo pale ludewa, na kama una hayo mabaya ya mhe. Deo yaweke jamvini ili na sisi tupate kuyaelewa,
5. Aliyefichua maovu ya wakuu wa Idara in Mwandishi wa Tanzania Daima, Francis Godwin, kwa kuandika kuwa Madiwani wa Ludewa wamemkataa, afisa utumishi wa Halmashauri hiyo ya wilaya, bwn. Juma Ally - kwa ufisadi wake, ndiyo mhe. Deo alikuwepo kwenye kile kikao, lakini waliomsimamisha kazi bwn. Juma Ally ni baraza la madiwani,
6. Mradi wa maji wa Benki ya Dunia, mbunge aliyepita alishindwa kuufuatilia hata kwa kupeleke maji popote, leo Filikunjombe amefuatilia na nyie wenyewe mnasema vijiji 2 vitapata maji ipi ni afadhali?
2015 mbali mno si umesema kuna kesi mahakamani? Itaamua kesi. Umedandia treni kwa mbele, kaka.Asante kwa uelewa. Hayo mengine 2015 itaamua. Haha ludewa ludewa the sleeping giant.
wana kula hela, according to madiwani, ni wakuu wa idara. tutawa ghadafi.Kama kala hela yenu yafaa mumgadafe iwe fundisho kwa mafisadi wenzake
Hii ni hoja ya kipumbavu, kwani mbunge wenu anayeitwa filiku Njombe ni wa Njombe? Ebu tuondoleeni upangwa wenu hapa nyie majuha.
its true ludewa is a sleeping giant ndo maana mnayafanya hayo mnayoyataka, mnapohamishiwa ludewa kuja kufanya kazi huwa mnalalamika, eti ludewa ni kubaya, mkishafika ludewa kuondoka hamtaki, leo tumebaini ni kwa nini, kumbe ni kwa sababu ludewa is a sleeping giant! Aliyelala usimwamshe.Haha ludewa ludewa the sleeping giant.